adacadabra
Member
- Jul 31, 2013
- 98
- 35
Amani kwenu ndugu zangu wana jf hasa kwenye kitengo hiki, poleni na majukumu ya kila siku, nimeona hapa ni sehemu sahihi ya kuomba ushauri wenu katika hili ....mimi ni kijana miaka 26 katika kuhangaika kwangu hapa mjini nimepata mtaji wa tsh milioni mbili tu hasa baada ya kujibana kwenye matumiz ......kwaiyo waungwana kaka, dada, wadogo zangu naombeni ushauri nifanye biashara gani kwa hiki kidogo nlichonacho japo na mm siku moja niesabu faida? natanguliza shukran zangu Za dhati.