Mnyenz
JF-Expert Member
- Apr 5, 2014
- 1,420
- 4,306
Huko Duniani hata hapa Tz tumekua tukishuhudia mastaa wengi wakiwa na REALITY TV SHOW, mfano mkubwa kwa mbele ni ile show ya kina KIM KADASHIAN na familia yake.
Huku bongo nadhani ile MAISHA PLUS ilikua ndio the best(big up kwa mwanzilishi)
Sasa baada ya kuanza kushuhudia nyuzi nyingi za kulalamika ukosefu wa ubunifu wa vipindi vizuri katika TV, nikaamua kuleta wazo hili kwenu wadau ili tuone kama linaweza kufaa.
Kuwe na REALITY TV SHOW ambayo badala ya kuwa ya watu au familia maarufu iwe ni ya kutoka katika familia hizi za kwetu za USWAHILINI.
Familia husika iwe na binti MJANJA MJANJA/CHAKARAMU wa mambo ya kiswazi, binti huyu ndio awe muhusika mkuu wa hiyo reality tv show.
Kigezo cha binti ni akubali kuyaishi maisha yake halisi na familia yake kwa ujumla mbele ya camera.(na kusisitiza hilo ni kukubaliana kumlipa baada ya msimu kumalizika na sio kabla ili tuyaone maisha yake halisi/asifeki)
Nadhani kama ikipewa promo ya kutosha itakua show nzuri sana.
Huku bongo nadhani ile MAISHA PLUS ilikua ndio the best(big up kwa mwanzilishi)
Sasa baada ya kuanza kushuhudia nyuzi nyingi za kulalamika ukosefu wa ubunifu wa vipindi vizuri katika TV, nikaamua kuleta wazo hili kwenu wadau ili tuone kama linaweza kufaa.
Kuwe na REALITY TV SHOW ambayo badala ya kuwa ya watu au familia maarufu iwe ni ya kutoka katika familia hizi za kwetu za USWAHILINI.
Familia husika iwe na binti MJANJA MJANJA/CHAKARAMU wa mambo ya kiswazi, binti huyu ndio awe muhusika mkuu wa hiyo reality tv show.
Kigezo cha binti ni akubali kuyaishi maisha yake halisi na familia yake kwa ujumla mbele ya camera.(na kusisitiza hilo ni kukubaliana kumlipa baada ya msimu kumalizika na sio kabla ili tuyaone maisha yake halisi/asifeki)
Nadhani kama ikipewa promo ya kutosha itakua show nzuri sana.