wimbi la mbele
JF-Expert Member
- Jan 4, 2011
- 647
- 266
Mtu yoyote wa mjini kabla hujafanya kazi na mtu unatakiwa unamfanyia diligence sasa hao wanaopiga madili na Iddi Simba hawakujua jinsi gani alivyoiua kalbu ya Saigon?
Kama kaweza kuia ile klabu what makes you think angekuwa na uadilifu huo?
kama kaweza kuia Saigon angeshindwa kuiimaliza UDA?
Mtu yoyote wa mjini kabla hujafanya kazi na mtu unatakiwa unamfanyia diligence sasa hao wanaopiga madili na Iddi Simba hawakujua jinsi gani alivyoiua kalbu ya Saigon?
Kama kaweza kuia ile klabu what makes you think angekuwa na uadilifu huo?
kama kaweza kuia Saigon angeshindwa kuiimaliza UDA?
Mkuu Dar siyo mwenyeji sana. Unaweza kufafanua klabu Saigon? Ilikuwa inashughulika na nini na huyu mwenye heshima zake aliiuaje?
WAJAMENI NYIE WACHENI TU, IDDI SIMBA ANA KAMPUNI INAITWA SERENGETI ADVISERS, ANASHIRIKIANA NA WAMAREKANI KUNUNUA ARDHI TAKRIBANI Ha 200 000 KATIKA MIKOA YA KIGOMA NA RUKWA NA HIYO ARDHI KASHAPEWA. ANAUNGWA MKONO SAAAAAAAAAAAANA NA DC WA MPANDA WA SASA BAADA YA KUONJESHWA SAFARI YA MAREKANI YEYE PAMOJA NA MADIWANI WAKE WA MPANDA.
MJUE PIA KUWA IDDI SIMBA SIYO MTANZANIA, HILI LINA FAHAMIKA LAKINI SERIKALI INAUMBIA MACHO.
MIE NAPITATU WAJAMENI!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Idd Simba yeye na mambo ya fedha ni kama chura na maji!. Alipokuja kumfanyia kampeni Didas Masuburi pale club hoja yake kuu ilikuwa eti Masuburi atatupatia tenda za jiji watu wa mjini kumbe ana lake la UDA loo
Wazee ni kweli pia kuwa IDD SIMBA ndiye aliyeiuwa SUKITA?