Vawulence
JF-Expert Member
- Jan 4, 2009
- 1,928
- 2,101
Wakati Idd Simba akiwa Waziri wa viwanda na biashara, kuna kampuni ilituma maombi ya kufungua kiwanda cha pedi.
Katika hali ya ajabu, faili husika lilitoweka katika mazingira ya ajabu. Hata hivyo mke wa Idd Simba alifungua kiwanda cha pedi miaka kadhaa baadae.
Hilo si tatizo ila tatizo halisi ni pale Simba alipojidhamini kwa bil 8 dhamana yake ikiwa ni kiwanda hichohicho. Kwa maneno mengine mahakama imekubali dhamana isiyokuwepo kwani kiwanda husika hakijasajiliwa kiserikali.
Katika hali ya ajabu, faili husika lilitoweka katika mazingira ya ajabu. Hata hivyo mke wa Idd Simba alifungua kiwanda cha pedi miaka kadhaa baadae.
Hilo si tatizo ila tatizo halisi ni pale Simba alipojidhamini kwa bil 8 dhamana yake ikiwa ni kiwanda hichohicho. Kwa maneno mengine mahakama imekubali dhamana isiyokuwepo kwani kiwanda husika hakijasajiliwa kiserikali.