Wakuu.
Yule kada maarufu wa ccm mheshimiwa Idd Simba amehusishwa na utapeli wa mamilioni kwa wakulima kupitia shirika lake la Pride Tanzania mikopo vijijini.. Shirika hilo lililotapeli wakulima wa sehemu mbalimbali nchini kwa ahadi ya kuwakopesha wakulima toka mwaka jana huku likiwa limeshakusanya akiba za wakulima hao na mpaka sasa hivi.limeshindwa kufanya hivyo huku wakulima hao wakidai akiba zao bila mafanikio..Aidha, wakulima kutoka morogoro wamelalamika kutapeliwa akiba zao kwa ahadi hewa ya kupewa mkopo na hivyo kuwarudisha nyuma kimaendeleo.
Yule kada maarufu wa ccm mheshimiwa Idd Simba amehusishwa na utapeli wa mamilioni kwa wakulima kupitia shirika lake la Pride Tanzania mikopo vijijini.. Shirika hilo lililotapeli wakulima wa sehemu mbalimbali nchini kwa ahadi ya kuwakopesha wakulima toka mwaka jana huku likiwa limeshakusanya akiba za wakulima hao na mpaka sasa hivi.limeshindwa kufanya hivyo huku wakulima hao wakidai akiba zao bila mafanikio..Aidha, wakulima kutoka morogoro wamelalamika kutapeliwa akiba zao kwa ahadi hewa ya kupewa mkopo na hivyo kuwarudisha nyuma kimaendeleo.