Aliyekuwa mkuu wa tume ya uchaguzi ndie mkuu wa usalama wa taifa unatarajia nini?
Aliyekuwa mkuu wa tume ya uchaguzi ndie mkuu wa usalama wa taifa unatarajia nini?
Sawa sawa. Huwa nawaona uwanja wa taifa kwenye maadhimisho ya sherehe za uhuru au muungano wakiwa wamevalia sare nyeupe kwenye gwaride. Asante sana mdauP
Tanzania Intelligence Security Service Hao ndo tunawaita Usalama wa Taifa Mdau.
Watch itKama kawaida yenu...I'm watching carefully
aaahhh aisee kazi kweli kweli
Hapana niko macho kuna nini?Mkuu umelala?
Mkuu acha kuongopa.Aliyekuwa mkuu wa tume ya uchaguzi ndie mkuu wa usalama wa taifa unatarajia nini?
Mkuu hawa si ndio wale jeshi la wokovu lilipo pale kilwa road? Mbona nawajua ni watu wazuri sana tofauti na unavyoelezaKazi kubwa ya Tiss ni kuiba kura hilo lipo wazi kabisa
Ndio hapo sasa anaongopa tu
lishangae hilo pongo lala
Khaaa !! Kweli chama kina watu inamana hadi leo hujui TISS nini !? Halafu na wewe ni miongoni mwa watetezi wakuu wa chama?? Umetia aibu bora ungekaa kimya kwanza ,ndio maana wajinga hawaishi ndani ya CCM mpo wengi kwa kweliKwani TISS ni nini? Mnaojua tafadhali mtusaidie
be careful and watch itHapana niko macho kuna nini?
Sio wote mkuu...uzalendo haukosi ila kuna nguvu ya wema na ubaya kwa kila taasisi, hata uwe wewe TISS kuna mifumo yake...but ni kweli kila taasisi inahtaji kujifunza zaidi hasa changamoto za Dunia wakati huu.Kazi kubwa ya Tiss ni kuiba kura hilo lipo wazi kabisa
Kama vipi hiyo Intelligence itoke hapo,ibaki TSS maana hawaendi ki Intelligence kabisaP
Tanzania Intelligence Security Service Hao ndo tunawaita Usalama wa Taifa Mdau.
Ramadhan kairimu naye si nasikia alitoka kuleeMkuu acha kuongopa.
Ramadhan kairimuWee jamaa wewee acha kudanganya mazuzu wenzio huyo aliyekuwa Mkuu wa Tume ndio nani