madibira1
Member
- Dec 18, 2011
- 80
- 16
Kuna wahindi wengi sana ambao ni wahamiaji haramu ambao wako hapa nchini.... na Asilimia kubwa wako kwenye viwanda na makampuni ya wahindi. Pindi mnapokuja kuwa kagua wengine hujificha hadi kwenye stores.. mkiondoka tu wao back to work na niwengi balaa. Nashauri msiwe mnatoa taarifa mnapokuja nakama huwa hamtoi taarifa basi mbadilishe mbinu.