watoa vikombe ambao mimi nawafahamu mpaka sasa ni hawa
1. pastor wa loliondo (muasisi wa tiba ya kikombe )
2. kijana wa tarakea rombo kilimanjaro (wa pili)
3. kijana wa mianzini mabatini mbeya
4. bibi wa tabora
5. pastor wa katumba rungwe mbeya
6. mtowa kikombe wa ruvu (sifa yake anatoa dawa kwa wagonjwa bure)
7. mtoa kikombe wa kichangani morogoro ( sifa anatoa dawa kwa sh.200)
8. mtoa dawa wa ruvuma
natarajia mpaka kufikia mwishoni mwa mwaka huu kila kijiji kitakuwa na mtoa kikombe wake.
ndugu zangu huko tuendako ni kubaya sana! nibora tukajisalimisha kwa yesu ili tuweze kuwa salama!.
1. pastor wa loliondo (muasisi wa tiba ya kikombe )
2. kijana wa tarakea rombo kilimanjaro (wa pili)
3. kijana wa mianzini mabatini mbeya
4. bibi wa tabora
5. pastor wa katumba rungwe mbeya
6. mtowa kikombe wa ruvu (sifa yake anatoa dawa kwa wagonjwa bure)
7. mtoa kikombe wa kichangani morogoro ( sifa anatoa dawa kwa sh.200)
8. mtoa dawa wa ruvuma
natarajia mpaka kufikia mwishoni mwa mwaka huu kila kijiji kitakuwa na mtoa kikombe wake.
ndugu zangu huko tuendako ni kubaya sana! nibora tukajisalimisha kwa yesu ili tuweze kuwa salama!.