Kaka Mkubwa
Senior Member
- Oct 10, 2008
- 154
- 10
Wakulu ni muda mrefu nimekuwa nikisikia kuwa takwimU zinasema kuwa idadi ya wanawake ni wengi kuliko ile ya wanaume wanaoshi dunia kwa muda wote!
Mbaya zaidi nikasikia kuwa kwa siku za hivi karibuni hali hiyo imebadilika na kuwa wanaume ndiyo wengi zaidi!
Leo hii naomba nipate maoni yenu juu ya hili hapa jamvini...nawaaaminia sana NA NATANGULIZA SHUKURANI ZANGU ZA DHATI.
Mbaya zaidi nikasikia kuwa kwa siku za hivi karibuni hali hiyo imebadilika na kuwa wanaume ndiyo wengi zaidi!
Leo hii naomba nipate maoni yenu juu ya hili hapa jamvini...nawaaaminia sana NA NATANGULIZA SHUKURANI ZANGU ZA DHATI.