Idadi ya walipa kodi yapungua


Umetupa mfano mzuri, nina hakika wale vigogo wa serikalini mashirika waliofungua miradi huwa hawalipi kodi kutokana na kipato hicho cha ziada.

Mfano Mzee Pinda Peter Kayanda Mizengo ana mradi wa shamba la zabibu, je anakadiriwa kodi ya ziada kutokana na chanzo hicho cha mapato ?

View: https://m.youtube.com/watch?v=6JDKAses07UMfano mwingine mbunge Charles Kitwanga je analipa kodi ya mapato kutokana na ku hustle kwa kufuga kuku nyumbani kwake ?


View: https://m.youtube.com/watch?v=7d_ouFn-j-g
Mifano ni kibao kuwa kuna shughuli nyingi za wakubwa na wadogo za kujiingizia kipato lakini hawalipi kodi stahiki ikiwemo kodi ya mapato. Eneo hiki likitazamwa basi wigo wa walipa kodi utaongezeka kufanya idadi rasmi kuwa kubwa zaidi ya walipa kodi ma hustlers na vibarua wao wangetakiwa walipwe ujira ili waweze kuingizwa katika PAYE.
 
Wigo mwingine ukitazwamwa ni kwa wenye mashamba wanatakiwa pia kulipa kodi ya mapato


View: https://m.youtube.com/watch?v=Ytf8D5bNFywRais mstaafu wa Awamu ya Nne ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dr. Jakaya Mrisho Kikwete ameendelea kuwekeza nguvu zake katika kilimo wakati huu baada ya kustaafu majukumu ya Kitaifa.


Wenye mashamba ya kueleweka je wanalipa kodi ya mapato PAYE mbali ya kodi zile za mageti ya mazao n.k Masanja Mkandamizaji akionesha mafanikio ya ajira ya kilimo


View: https://m.youtube.com/watch?v=pFywWew6Fdk
 
Kwahiyo ongezeko la makusanyo ni kutokana na nini. Au wameongeza ukamuaji
 
Chochote kitakacho nunuliwa na mtoto au mkubwa iwe ni chakula mavazi au chochote kile kodi tayari mtu ameshatozwa humo !
Huwa nashangaa kusikia wale watu wanaokusanyia kodi Serikali kutokana na Biashara kubwa kubwa zao Eti ndio wanahesabika ndio walipa kodi Nchini
😱😱 !
Sisi akina Kalimazila ambao ndio wengi kila siku tunanunua hizo bidhaa na hizo huduma zinazotolewa na hao wanaoitwa ndio walipa kodi hatuhesabiwi kama ni walipa kodi 😳😱😱 !
Kwakweli itabidi Turudi tena shuleni !
 
Unaweza kuwadanganya Watu !
Lakini Mungu huwa hadanganywi !
Mungu anawaona wanaozitwanga Kodi za Wananchi masikini wa Nchi hii 😳 !
 
Kwa wengine Mashamba ni Boshen tu au sehemu ya kufanyia picnic na mapichapicha tu !
 
Huu ndo upuuzi sasa tunalisha watu, mfanyakazi kila mwezi analipa kodi je lini TRA imemkadiria , so mfanyakazi wa tz sio mlipa kodi kwa sababu hajakadiriwa na TRA ?
Nijibu kabla sijakufuata na fimbo jirani ,nakueshim
Mimi nakuona wewe ndio unashindwa kuelewa, receipt yako inaandika pesa imekatwa na TRA basi unalipa kodi na hapo lazima uwe na Tin number kama huna basi hulipi kodi hapo sijui umeelewa??
 
Exclusive interview - Mtaalamu mchumi Prof Gift Mugano (Ph.D) akielezea sababbu za nafasi za kazi kupungua, idadi ya walipa kodi kungua / kuwa ndogo, sera za kodi n.k


View: https://m.youtube.com/watch?v=Ri4HFYwoCIwLeading Expert in BRICS' Think Tank|Director Centre for African Governance & Development| Durban University of ...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…