Titicomb
JF-Expert Member
- Jan 27, 2012
- 15,505
- 27,501
Kwa kweli.Hahaaaaa
Duh hii tar 29 ipite naona ss tutapoteza ndugu wa damu
😜😜😜😜
Kwa kweli.Hahaaaaa
Duh hii tar 29 ipite naona ss tutapoteza ndugu wa damu
😜😜😜😜
Tuko pamoja bwanaKwa kweli.
Huko kwa dada ni mwendo wa nuclear tupu ,Acha nilale nitalikuta hilo bomb asbhiKwa kweli.
Umeamka salama mkuu?Huko kwa dada ni mwendo wa nuclear tupu ,Acha nilale nitalikuta hilo bomb asbhi
Ila mange🙌🙌🙌🙉😃😃😃
Unaishi na familia wote mkikosa HAKI!You really want to ride a storm.
Be careful, you are surfing in a dangerous water.
Uhai wako muhimu, familia tunakuhitaji.
Wasiwasi wangu ukiandika sana hapa mikakati. Usipojua kuficha utambulisho wako.Unaishi na familia wote mkikosa HAKI!
Yes ,I'm gud mpendwaUmeamka salama mkuu?
Sijui kwanini sipendi kuingia kwenye page za huyo dada yetu wa taifa.
Embu nipe kwa kifupi kuna nini amepost?
Ni kweli ila ujumbe umefikaSiku maanisha asiende kuandamana.
Nilihofia alicho andika na hasa hapa jukwaani Sina uhakika anaweza kujilinda wasimjue.
Kama yupo bongolala land watam-Polepole kabla ya Oct29.