Idadi ya sayari zinazolizunguka Jua

Idadi ya sayari zinazolizunguka Jua

Dunia ina sayari ngapi.....
 

Attachments

  • 1413806310256.jpg
    1413806310256.jpg
    10 KB · Views: 409
ww kazi kwanza1981,kuna jua zaidi ya moja imegundulika, bado umekalili ya shuleni kwenu kwani?
 
Pamoja na swalikukosewa lakini nadhani muulizaji ameeleweka, jibu ni kwamba there are 8planets in the universe/solar system. Nazo ni Mercury, Venus, Earth, Mars,Jupiter, Saturn, Uranus na Neptune. Tulipokuwa shule enzi hizo tulifundishwakuwa sayari ziko 9 katika solar system yani ukiongeza sayari ya Pluto. Lakiniimegundulika kuwa Pluto haiwezi kuwa included katika solar system kwa sababu kuutatu; Kwanza ni ipo Offbeat orbit yani mzunguko wake haupo sawa na sayarinyingine 8 nilizozitaja kwa maana orbit yake haiendi sanjari na hizo zingine; Pilini kuwa Pluto inaonekana ipo inashare space nyingine na other objects outsideof the universe; na tatu kwa sababu ya ndogo sana kuweza kuiclassify kama nisayari. However the subject of Pluto remains a contoversial among theScientists. Pamoja na hivyo mie kama astronomist naamini kuwa sayari ziko 8 tuna hiyo Pluto haipo miongoni mwa sayari.
 
wakuu kwa sasa dunia ina sayari ngapi maana nasikia kuna ugunduzi wa sayari nyingine zaidi ila sijajua ni ngapi. Kwa anayefahamu atupie na majina yake.
shehe duniani hakuna sayari,labda anga za mbaaaliii na huko kuna billions of confussion
 
Solar System yetu ina sayari 8.Pluto ipo classified kama dwarf planet
 
Ok, ok, kuna sayari ya Auatralia, sayari ya Amerika, sayari ya Ulaya n.k. pia kuna sayari ndogo kama Tanzania, Kenya, China, Brazil, n.k. ndizo sayari zilizopo duniani. Ungeongela Universe ni kitu kingine mkuu.
 
Dunia ni sayari


ila kuna sayari zingine

Mi nazijua tisa.. Mercury venus earth mars jupiter saturn uranus neptune na pluto
 
Ningemwita Mgalanjuka, ila kwa namna ulivyouliza napata picha ya ufahamu wako na sidhani kama utamwelewa, tena kwa kiswahili hiki hiki.
Manake nondo zake huwa nasoma, sielewi, hadi namwita mtu mwengine anisomee kwa sauti lakini natoka mweupe.
Tafadhali Monstgala unahitajika huku.
 
Last edited by a moderator:
Ok, ok, kuna sayari ya Auatralia, sayari ya Amerika, sayari ya Ulaya n.k. pia kuna sayari ndogo kama Tanzania, Kenya, China, Brazil, n.k. ndizo sayari zilizopo duniani. Ungeongela Universe ni kitu kingine mkuu.

Michango ya kimzaha (kitoto) kama hii , ndiyo isababishayo Jf's registered matured members wengi wanahama foramuni .
 
Nadhani swali lingekuwa hivi.....KUNA SAYARI NGAPI KATIKA MFUMO WA JUA?


Nyongeza:

........JUA LETU?

Maana kuna mifumo ya jua mingi sana hivi karibuni imegunduliwa mingine mingi na kwa ujumla inakadiriwa kuwa na sayari zaidi ya 700
 
Dunia ni sayari


ila kuna sayari zingine

Mi nazijua tisa.. Mercury venus earth mars jupiter saturn uranus neptune na pluto


Pluto imeondolewa kwenye kundi la sayari za mfumo wetu wa jua kutokana na uwepo wa space objects zingine nyingi zenye unbile kama lake katika mfumo hivyo pluto kwa sasa ipo kwenye fungu la dwarf planets
 
Back
Top Bottom