nkungwe123
JF-Expert Member
- Mar 17, 2014
- 444
- 95
Habari yenu wana JF
Asubuhi ya Leo nashawishika kuandika juu ya tafiti chache zilizofanyika Tanzania mwishoni mwa mwaka jana na majibu kutoka mwanzoni mwa mwaka huu 2014.
Tafiti ililenga hasa kujua wanaume wanaoshiriki mapenzi ya jinsia moja.
Baadhi ya majibu yako ivi:
70% ya wanaume walio hojiwa wanashiriki mapenzi na wanaume wenzao"! Kati ya hao 23% wana familia (wameoa na wana watoto).
Hoja yangu kwenu ni kuwa hali hii huja vipi kwa mwanaume kumtamani mwanaume mwenzie?
Yaani mwanaume anachepuka kwenda kwa mwanaume mwenzie huku amemwacha mkewe nyumbani!
Kwa wadada; ukigundua mmeo yuko ivo utafanyaje?
Nawasilisha!
Asubuhi ya Leo nashawishika kuandika juu ya tafiti chache zilizofanyika Tanzania mwishoni mwa mwaka jana na majibu kutoka mwanzoni mwa mwaka huu 2014.
Tafiti ililenga hasa kujua wanaume wanaoshiriki mapenzi ya jinsia moja.
Baadhi ya majibu yako ivi:
70% ya wanaume walio hojiwa wanashiriki mapenzi na wanaume wenzao"! Kati ya hao 23% wana familia (wameoa na wana watoto).
Hoja yangu kwenu ni kuwa hali hii huja vipi kwa mwanaume kumtamani mwanaume mwenzie?
Yaani mwanaume anachepuka kwenda kwa mwanaume mwenzie huku amemwacha mkewe nyumbani!
Kwa wadada; ukigundua mmeo yuko ivo utafanyaje?
Nawasilisha!