ID za wadada wa JF: Kuna kitu sijakiona

ID za wadada wa JF: Kuna kitu sijakiona

SHIEKA

JF-Expert Member
Joined
Dec 20, 2011
Posts
8,240
Reaction score
4,270
Ni kweli, hiki kitu sijakiona. Huu ni mwaka wangu wa nne hapa jf, na ID za wadada wa Jf
ni za aina aina pamoja na zenye neno 'miss', 'madame'.

Lakini sijakutana na id ya mdada yenye neno 'mrs.' Hii inanishangaza.

Kwa nini hivyo? Je, wadada hawataki kutoa taswira kwamba wameolewa?
 
Ni kweli, hiki kitu sijakiona. Huu ni mwaka wangu wa nne hapa jf, na id za wadada wa jf
ni za aina aina pamoja na zenye neno 'miss', 'madame',.
Lakini sijakutana na id ya mdada yenye neno 'mrs....' Hii inanishangaza.

Kwa nini hivyo? Je, wadada hawataki kutoa taswira kwamba wameolewa?

ID ya "madame" nitayari ameshaolewa au anoenekana anahadhi ya mtu aliolewa katika lugha ya kifanrasa ndio maana wanao"Mademoiselle # Madame"
 
ID ya "madame" nitayari ameshaolewa au anoenekana anahadhi ya mtu aliolewa katika lugha ya kifanrasa ndio maana wanao"Mademoiselle # Madame"
Je sais, merci monsieur.
 
Wapo mbona, kuna mrs kharusy na yule mwingine sijui ni mrs lelo vile but sikumbuki vizuri
 
Wapo mbona, kuna mrs kharusy na yule mwingine sijui ni mrs lelo vile but sikumbuki vizuri
Heaven Sent, sikumbuki kukutana na id ya Mrs Kharusy hapa jf. Sorry, nimefanya search kweli yupo! Ila kwa bahati mbaya huwa simwoni kwa sababu jukwaa lake pendwa ni JF Chef nami kamwe sikanyagi huko! You are right Heaven Sent, Mrs ipo hapa jf!
 
Ni kweli, hiki kitu sijakiona. Huu ni mwaka wangu wa nne hapa jf, na id za wadada wa jf
ni za aina aina pamoja na zenye neno 'miss', 'madame',.
Lakini sijakutana na id ya mdada yenye neno 'mrs....' Hii inanishangaza.

Kwa nini hivyo? Je, wadada hawataki kutoa taswira kwamba wameolewa?

Wewe anza na Mr kama Mr Rocky
 
Last edited by a moderator:
Mrs Kharusy mbona anapatikana hata Habari na Hoja mchanganyiko, Picha
 
Ala, kumbe ipo id hii yenye mrs?Kwa nini sijaionaga? Ngoja niifuatilie sasa hivi.
Id ya mrs leo sio active sana hapa jf, ndo maana sijakutana nayo. Ilijiunga hapa jf January 2014,ina jumla ya posts
1076, na wastani wa post 1 kwa siku!
Anyway, kwa kuwa zipo id mbilitatu zenye neno mrs hapa jf, hypothesis yangu kwamba id za wadada hapa jf hazina neno mrs, no longer holds water! Thanks Khantwe and Heaven Sent!
 
Last edited by a moderator:
Mrs Kharusy mbona anapatikana hata Habari na Hoja mchanganyiko, Picha
Sio mara kwa mara kama anavyoingia Jamii Chef labda siku moja moja za mbaaali.
 
Back
Top Bottom