elixer of life
JF-Expert Member
- Dec 10, 2016
- 633
- 626
kwasasa kuna vitu vingine nafanya ila sio kwamba sifanyi hiyo kazi rahasha ila kama kweli unahitaji huduma ni pm ntakusaidia kwa namna moja au nyingineUnafungua kwa bei gani na uko wap nije kumprove wrong Tim Cook...
na kitu kingine uvumilivu ndio unaotakia sana kwenye kazi hiziUnafungua kwa bei gani na uko wap nije kumprove wrong Tim Cook...
kwasasa kuna vitu vingine nafanya ila sio kwamba sifanyi hiyo kazi rahasha ila kama kweli unahitaji huduma ni pm ntakusaidia kwa namna moja au nyingine
Ww mwanamke inaelekea unaipenda sana iphone zaidi ya mumeo.!Mmh haya.
Ww mwanamke inaelekea unaipenda sana iphone zaidi ya mumeo.!
Dear wana jamii forums. Zaidi ya miaka mitatu hivi nilikuwa naondoa lock za icloud kwa asilimia zaidi ya 70%. Yaani ukiniletea simu 10 zenye icloud, 7 nilikuwa naweza kuzifungua. Lakini kuanzia mwezi wa 7 mwaka huu 2017, especially simu mpya kama iphone 6s plus na 7 zimekuwa ngumu sana kuzifungua. Je! kuna yeyote hapa tunaweza kushirikiana ujuzi na uzoefu wa jinsi ya kuzifungua? Trust me. Hii ni biashara nzuri sana kwasababu ni kilio duniani ukiweza kufanikiwa kufungua angalau mbili kwa siku you will never be the same. Njoo tuzungumze
Kama hauna naomba tuwe pamoja katika ulimwengu huu wa mapenzi.Kuna mahala niliandika nimeolewa.???? Au ndo nyie wanaume kutaftia wake na mama mdogo zenu.
Natumia iPhone 6 iOS 11 nakula raha tu
Kama hauna naomba tuwe pamoja katika ulimwengu huu wa mapenzi.
Kumbe zinakuwaga makopoIcloud haijawah kuwaacha watu salama....wenye mijikopo ya iphone na ipad tumieni tu bypass ili muingie hata jamii forums mpunguze machungu
Dis bypass..washa kaji wireless kutoka simu ingine au router kisha we nenda kwenye wireless setting set dns kwa kuweka 104.155.28.90 rudi nyuma weka password za wireless yako tumia..Instagram, Facebook, YouTube, Google na hata kuingia humu jukwaani kuliko kukaa na likopo.
kweli na mm kuna jamaa alinunua iphone 5 akaangaika sana ikashindikana kuna mpakistani akasema yeye anafunguaga mi nikamwambia hizo simu wameshindwa FBI itakuwa yeye katoka kashmir huko....kwa sababu alikuwa jamaa yangu akamwambia ampe akiwa free atamfungulia within a week jamaa akairudisha simu kaifungua....simu zinafunguka ila haina guarantee kama samsung yaani ni lazima ifungukeNa kwa taarifa yako, mambo yote yanayohusu IT hayana 100% security. watu wanaiba pesa kwenye ATM machine. wanaingilia system ya uchaguzi marekani na hata juzi kenya? Sembuse mtu kafunga simu yake kwa kutumia email account na password watu washindwe kuifungua? for your information. icloud ni locking system inayofanywa na user kwa mwenyewe kuingiza any email account na password. akimuuzia mtu simu au akiipoteza bila owner kuingia kwa login credentials inakuwa useless. kwa wanaojua IT hapo ndo source code ya tatizo na kuna njia nyingi za kuifungua. nyingine zinakataa nyingine zinakubali
Acha uongo 11 imetoka lini
Haya mamii kama hautojali naweza kuja pm?Hapana sikuhitaji hata kidogo ishia tu hapa tukoment na tufurai hapa tu thats all.
Mkuu unajua what you are talking about lakini? Utafanya vipi social engineering kwa email ambayo huijui kabisa? Ingekuwa laini saivi zingekuwa zinatolewa tu. Kuna services wanatoa icloud lakini sio simu ambazo zipo blacklisted. but not you my friendtena ikiwa iko report stolen au lost inakuwa nirashi sana kumdanganya unaetaka kufanya social engineering kwake yaani kama unapiga maji vile laini icloud inatoka sio kila mwajiliwa wa apple ni mtiifu na kazi yake kivipi mtu anapata info za iPhone. hapo ndio utajua kuwa kutoa icloud ni possible.
Endelea kukaa hivyohivyo
Mkuu unajua what you are talking about lakini? Utafanya vipi social engineering kwa email ambayo huijui kabisa? Ingekuwa laini saivi zingekuwa zinatolewa tu. Kuna services wanatoa icloud lakini sio simu ambazo zipo blacklisted. but not you my friend
Haya mamii kama hautojali naweza kuja pm?
kweli na mm kuna jamaa alinunua iphone 5 akaangaika sana ikashindikana kuna mpakistani akasema yeye anafunguaga mi nikamwambia hizo simu wameshindwa FBI itakuwa yeye katoka kashmir huko....kwa sababu alikuwa jamaa yangu akamwambia ampe akiwa free atamfungulia within a week jamaa akairudisha simu kaifungua....simu zinafunguka ila haina guarantee kama samsung yaani ni lazima ifunguke
FBI hawakushindwa kufungua simu..bali walitaka data na vitu vilivyomo kwenye simu visipotee,,,nadhani wengi wanaofungua data nyingi zinapotea
Kumbe zinakuwaga makopondio Nimejua Leo. Android wakopoa sana. Haya makitu hayapo Kule
Mkuu hizi service ndio unakuja kutuaminisha kuwa eti umetoa icloud lock π π ebana mtawapata wasiojua iphone.rafiki yangu hapa siongelei mipesa au kuwa nini
Your unlock code has been successfully calculated.
=================================
IMEI : 013846007573695
Unlock code : 013846007573695 85602a22e9e526b3f29594b05b3988cf34f49603 Pod Last Name DSID Email Address City/State/Zip Country View DS account for Nikolina Racunica View account for Nikolina Racunica Nikolina 1492052167 nracunica@hotmail.com vancouver, British Columbia V6B 1K3 CAN nracunica@hotmail.com604-3234195
Orders details
Service Name : Check iPhone/iPad iCloud iD Info By Imei +UDID ( Name + Mail + Phone) [Warranty 3 Days]
Credit : 11
UDID : 85602A22E9E526B3F29594B05B3988CF34F49603
i hope ipo siku utaelewa kama hakuna kitu inashindikana hapa dunian huyo alikuwa victim wangu na nilishafungua simu yake kwahiyo tuliza akili yako kwa vitu ambvyo kwko ni impossible tuache tunao geuza impossible kuwa im' possible