ostrichegg
JF-Expert Member
- Jun 30, 2013
- 12,052
- 6,197
walikwenda Mahakamani juu ya suala la mita 200 wakagonga ukuta wakati serikali iliwaambia ni ruksa kukaa mita mia mbili walivyojifanya wajuaji na kukimbilia mahakamani wakaambiwa hata hizo mita mia mbili hamruhusiwi kabisaa piga kura nenda kwako ukionekana cha moto ni stahili yako nijuavyo mimi wanasheria wa UKAWA WAKO kiuchumi zaidi na wanatumia msemo wa TUMGIDIE ----- EL atatoa pesa wakatalii uholanzi kisha warudi hapa kimyaaaaaaaaaaaaa ni kweli mali ya mjinga huliwa na wajanja.
Mwambieni EL aachie hata za kutoa sadaka na ajenge chuo kikuu cha Monduli kwa heshima yake na kizazi kijacho atakumbukwa kwa hilo badala ya kutapanya fedha kwa kung'ang'ani URAIS ambao umeshamgomea kila anapojaribu kuupata toka 1995.
Atakumbukwa kama shujaa wa elimu na siyo shujaa wa kutafuta URAIS MFIKISHIENI UJUMBE WANGU NA AUFANYIE KAZI KWANI HAKUNA NAMNA YOYOTE ANAYOWEZA KUFANYA AKAINGIA IKULU.
Ndg nadhani huelewi kwamba huelewi. Mhe Kibatala aliomba ufafanuzi wa kisheria. Hukumu ndio imezidi kuwa ya kuchekesha na kutia Shaka. Vituo vyote hapa nchini viko kwenye makazi ya watu, sijui hizo mita Mia mbili zipatikane wapi, labda kwenda juu. Ingawa Baba Ritz alishangilia pale jangwani, Hakika hata watoto wadogo walijua kuwa haitekelezeki labda vituo vya kupigia kura vihamishiwe mbuga za wanyama. Sasa kwa nini waliing'ang'ania ndio tunazidi kuliona.