Haya wewe kilaza unaejua kalagabaho kutetea mfumo wa wiziMmedanganywa vibaya sana.
Eti ICJ.
Ingia hata google usome hiyo mahakama na mamlaka yake.
Afu mnatukana watu vilaza ha ha ha
Haya wewe kilaza unaejua kalagabaho kutetea mfumo wa wizi
Pole ukiwa na taifa lililo kwenye misingi imara ya ujinga unategemea nini?Sitetei mfumo mwizi.
Napinga hii habari ya watu kuwadanganya wafuasi wao kuwa wameenda ICJ.
Ni uongo mkubwa.
Yaani kwa uongo sasa hivi chadema ishakuwa kama magamba tu
Sitetei mfumo mwizi.
Napinga hii habari ya watu kuwadanganya wafuasi wao kuwa wameenda ICJ.
Ni uongo mkubwa.
Yaani kwa uongo sasa hivi chadema ishakuwa kama magamba tu
1.Amdharauye mwenzake afanya dhambi; Bali amhurumiaye maskini ana heri.#Proverbs 14:21
2.Na alaaniwe amdharauye baba yake au mama yake. Na watu wote waseme, Amina.#Deuteronomy 27:16
Watakuambia hayo ni makosa madogo tu ya kibinadamu.Watuambie hayo mahesabu wanajua wao tu?
Kama haihusiki ni hzo case why mmepeleka mawakili? Zi mgegoma mapunguwani wakubwa nyie..
Cdm zimekaaje akili kubwa tu ....tunafahamu tukifanyacho we subiri uone mziki..mgombea wenu ataishia pewa cheti lakini magogoni ataenda tembea
Ndg nadhani huelewi kwamba huelewi. Mhe Kibatala aliomba ufafanuzi wa kisheria. Hukumu ndio imezidi kuwa ya kuchekesha na kutia Shaka. Vituo vyote hapa nchini viko kwenye makazi ya watu, sijui hizo mita Mia mbili zipatikane wapi, labda kwenda juu. Ingawa Baba Ritz alishangilia pale jangwani, Hakika hata watoto wadogo walijua kuwa haitekelezeki labda vituo vya kupigia kura vihamishiwe mbuga za wanyama. Sasa kwa nini waliing'ang'ania ndio tunazidi kuliona.
Ukisoma dhumuni na maana ya ICJ utagundua kuwa ni mahakama inayohUsika na nchi kwa nchi na si internal affairs za nchi, ndio maana haijawah na haitawah kutokea nchi yyte duniani eti kubatilishwa matokeo na ICJ.
My take: Nawaomba wanaongelea mahakama ya ICJ na kesi ya wizi wa kura waache kwani raisi mteule ni magufuli na hakuna case itkayoenda ICJ.
Kama hawa deal na within country cases kwa nini wamewapokea.Si wangeambiwa straight away kwamba we do not deal with such cases.Mimi sijaona mandate ya ICJ,lakini maadam CDM wamepokelewa,basi ICJ wana deal na such cases.Kwa kuwa hata jina lenyewe linaonyesha kwamba hiyo mahakama inahusika na kutetea haki za watu pia.Vinginevyo kama ukituambia hawakupokelewa,tutakuamini.
Nani kakwambia wamepokewa?
Kwanini vijana mnadanganyika kirahisi hivi?
Ccm hawana weledi wameiba kura wakasahau kuweka mahesabu yawe balance yaani kila ukipunguza kura hakikisha unaoanisha na za kwako. Yanaiba wakati mahesabu hayajuwi. Ovyooooo. IT mliowatumia ni mavilaza ya hatareee. CDM /UKAWA ni vichwa na wanajitambua