only connect
Senior Member
- Dec 26, 2014
- 123
- 67
Hakika ccm ni laana, wana ccm wote akili zao zinafana, hawana reasoning hata kidogo. Jana nilimuona jamaa mmoja wa ccm channel ten alikuwa akiongea hovyo kabisa, na ni mmoja ya wana ccm waliochukua fomu ya kugombea urais. He was absolutely insane. Sijui kwa nini ukiwa ccm akili inakuwa mgando mgando?