Delegate
JF-Expert Member
- Jan 4, 2012
- 331
- 201
ICC walikuwa wameweka ofisi zao Dar wameenda Zanzibar kushuhudia na kukusanya ushahidi wa kinachoendelea wam,eambata na Rais mstaafu wa Nigeria Goodluck Jonathan.
Sshida na matatizo ndio zinaanza hivyo na nafikiri hawatakaa muda mrefu inabidi warudi bara mapema manake huku ndio kutakuwa na shughuli pevu
Sshida na matatizo ndio zinaanza hivyo na nafikiri hawatakaa muda mrefu inabidi warudi bara mapema manake huku ndio kutakuwa na shughuli pevu