ICC na watawala wa Afrika

Icc ni safi waongezewe kudhughulikia Ms vyama vya siasa vinavyochochea maandamano
 
ICC ni muhimu kwa afrika wanasisa ndo wapotoshaji hao kina uhuru na mwenzake mwanzoni walikuwa wanataka wapelekwe icc leo wanakataa nini?napinga hili jambo la kutaka kuzitoa nchi za kiafrika kwani nyingi hazina mfumo wakushughurikia viongozi,serikali ya ccm hajielewi inataka nini imeridhia mkataba wa roma,imepeleka jaji mmoja icc alafu inaleta siasa za kujipendekeza kwa kinauhuru na bashir
 
me nilidhani wangekutana kuongeza kipengele cha kuwapeleka kule wanaokula rushwa,kujilimbikizia mali na kukwepa kwa kutumia mgongo wa katiba zetu feki,wanaofungia magazeti bila hata fursa ya kujitetea,hakuna shaka africa ndo bado utasikia serikali imeangushwa,jeshi limehasi na mambo ka hayo,hakuna mwenye sauti ya kuwakemea kwani wengine wote ni wale wale
 
What they don' say is that " no african should stand for presidency if he or she has case in any criminal court
ImageUploadedByJamiiForums1381595488.203129.jpg
 
''Kagame, Museveni, Kenyatta, Mugabe, Albashiri.''


Kagame the killer without any doubt, ndiye aliitungua ndege ya rais na kusababisha mauaji ya kikatili nchini mwake, anaiba utajiri wa congo kwa kushirikiana na Museveni ambaye anamwachia madaraka mtoto wake, jiulize tangu lini rais anataka kumwachia madaraka mwanae. Huyu huyu Museveni ameshindwa kuwakabili Waganda wenzake ambao wako msituni wanapigana naye tangu aingie madarakani kuna sehemu hatii mguu. Ndiye huyu huyu Museveni aliyekuwa anataka kupigana vita na kenya kuhusu kisiwa kwenye lake victoria .... .. jiepushe na hili jini .... .... ..

Kenyatta inajulikana mauaji yaliyotokea kwenye uchaguzi uliopita sio huu alioshinda kinyemela kama nkwere.

Mugabe baada ya kupigwa ban na wazungu kwenda kufanya shopping za nguvu kila mwezi kwa pesa za walipa kodi na kujinufaisha binafsi, kujenga hekalu pale nje kidogo ya Harare kwa pesa za walipa kodi .... .. hata nkwere anajenga kule nsoga kwa njia kama hiyo. Kuua wapinzani kwa njia za ujambazi, raia kupotea bila kujulikana walipo nk the guy is a killer from the word go ..... .... remember jinsi alivyopanga mauaji ya Tongogara kule Mozambique under the nose of Samora.

Bashir kuua raia weusi wa South Sudan kwa kutumia ndege za kivita .... ..... raia wasiokuwa na any type of defence.

Viongozi wa Afrika wanaiogopa ICC kwa sababu ICC hawawezi kuhongwa kama majaji wa hizi nchi ambao kwanza wanapewa vyeo hivyo sio kwa merit bali kwa kuhongwa. Come on ICC flush these dictactors.
 
Habari ndugu wanajamvi!

Kagame, amseveni, Kenyatta, Mugabe, Albashiri ndio wanaoonekana vinara wa mpango huu, sasa tujiulize kuna nini nyuma ya pazia la utawala wao?


Mbona umesahau Mwanasheria wetu (Werema) alivyoandika ile barua kuipeleka kule ICC kwa ajiri ya kuwatetea Ruto na Kenyata? Inatakiwa utambue nchi zote za Afrika mabazo zinakandamiza Demokrasia na kutaka Zitawale milele huku vyama hivyo vikiwa vimechokwa na wananchi wake wanapingana na mahakama hii kwani wanajua kabisa hawawezi kuendelea kutawala bila kumwaga damu kwa kulazimisha matokeo katika chaguzi za nchi zao ikiwemo Tanzania.

Kwa upande wa pili ningetamani sana Nchi hizi za Afrika zijikite katika kuomba mahakama hii ifuate sheria bila kuangalia aina ya kiongozi/viongozi wanaotakiwa kushitakiwa na ni vizuri Sheria ikabadirika kwani kwa sasa inaonyesha waharifu wengi wanaoshitakiwa ni wale waliofanya ukatiri dhidi ya raia wao huku wale wanaofanya ukatiri dhidi ya raia wa nchi nyingine kama vile G.W.BUSH hawakamatwi kuzungumzwa wala kuhusishwa na tuhuma za ukatili dhidi ya binadamu. Kwani BUSH alitakiwa ashitakiwe kwa uhalifu dhidi ya binadamu alioufanya kule IRAQ na AFUGHANISTAN.
 
''Kagame, Museveni, Kenyatta, Mugabe, Albashiri.''


Kagame the killer without any doubt, ndiye aliitungua ndege ya rais na kusababisha mauaji ya kikatili nchini mwake,
anaiba utajiri wa congo kwa kushirikiana na Museveni ambaye anamwachia madaraka mtoto wake, jiulize tangu lini rais anataka kumwachia madaraka mwanae. Huyu huyu Museveni ameshindwa kuwakabili Waganda wenzake ambao wako msituni wanapigana naye tangu aingie madarakani kuna sehemu hatii mguu. Ndiye huyu huyu Museveni aliyekuwa anataka kupigana vita na kenya kuhusu kisiwa kwenye lake victoria .... .. jiepushe na hili jini .... .... ..

Kenyatta inajulikana mauaji yaliyotokea kwenye uchaguzi uliopita sio huu alioshinda kinyemela kama nkwere.

Mugabe baada ya kupigwa ban na wazungu kwenda kufanya shopping za nguvu kila mwezi kwa pesa za walipa kodi na kujinufaisha binafsi, kujenga hekalu pale nje kidogo ya Harare kwa pesa za walipa kodi .... .. hata nkwere anajenga kule nsoga kwa njia kama hiyo. Kuua wapinzani kwa njia za ujambazi, raia kupotea bila kujulikana walipo nk the guy is a killer from the word go ..... .... remember jinsi alivyopanga mauaji ya Tongogara kule Mozambique under the nose of Samora.

Bashir kuua raia weusi wa South Sudan kwa kutumia ndege za kivita .... ..... raia wasiokuwa na any type of defence.

Viongozi wa Afrika wanaiogopa ICC kwa sababu ICC hawawezi kuhongwa kama majaji wa hizi nchi ambao kwanza wanapewa vyeo hivyo sio kwa merit bali kwa kuhongwa. Come on ICC flush these dictactors.

Hapo kwenye BLUE ndugu mbona huyu huyu Museven ndio ameteuliwa kuwa msuluishi wa Mgogoro wa DRC je waliomteua hawayajui haya uliyoyaandika? au ni propaganda tu ambazo hazina ukweli.
 
Hapo kwenye BLUE ndugu mbona huyu huyu Museven ndio ameteuliwa kuwa msuluishi wa Mgogoro wa DRC je waliomteua hawayajui haya uliyoyaandika? au ni propaganda tu ambazo hazina ukweli.

Kuteuliwa sio nyenzo ya kuwa msafi.
 
Viongozi wa kiafrika pamoja na kufuta tongotongo lakini bado hawana tofauti yoyote na ma chief wa makabila yetu miaka ile ya giza.

Kitendo cha wao kukubaliana na kusaini mkataba wa Roma na kisha baadae kuanza kulalamika na kutaka kujitoa ni kitendo ambacho hakina tofauti yoyote na mikataba aliyokuwa anaingia chief Mangungo wa Msowero!

Kama viongozi wetu wa kiafrika wangekuwa na akili nzuri wangekuwa wanajadiliana na kushauriana namna ya kuimarisha demokrasia na utawala bora katika nchi zao badala ya kwenda kupanga mipango miovu dhidi ya wananchi wao kisha wanabaki kulialia mara tu wanaposhtakiwa ICC kwa ufedhuli wao.
 
Viongozi wa kiafrika pamoja na kufuta tongotongo lakini bado hawana tofauti yoyote na ma chief wa makabila yetu miaka ile ya giza.

Kitendo cha wao kukubaliana na kusaini mkataba wa Roma na kisha baadae kuanza kulalamika na kutaka kujitoa ni kitendo ambacho hakina tofauti yoyote na mikataba aliyokuwa anaingia chief Mangungo wa Msowero!

Kama viongozi wetu wa kiafrika wangekuwa na akili nzuri wangekuwa wanajadiliana na kushauriana namna ya kuimarisha demokrasia na utawala bora katika nchi zao badala ya kwenda kupanga mipango miovu dhidi ya wananchi wao kisha wanabaki kulialia mara tu wanaposhtakiwa ICC kwa ufedhuli wao.

Kutiki chikaka.
Nafikiri ni mila na desturi za kiafrika ndo tatizo, nafikiri mila za kiafrika zinapenda kujionyesha onyesha sana na ubabe ubabe fulani.
Mie hua nafanya fanya ka research ninapopata bahati kutembelea mjini katika miji ya watu.
1. Kwa asilimia yani 90% utakuta kijana mwafrika anatembea kibabebabe amatanua miguu, mikono na suruali kiunoni, saa kubwa kiatu kirefuu na miwani mieusi mikubwa hata kama kuna dondoka barafu.
2. Kwa asilimia 90% waafrika wanapenda kuishi kwenye miji mikubwa mikubwa hata kimsingi huo mji mkubwa kwake ni mzigo mkubwa sana.

Rudi nyumbani
1. Utakuta mtu analazimisha kujenga linyumba kubwaaaaaa hata kama kwenye nyumba hiyo ataishi pekee yake hajali, atahakikisha anajenga linyumba kubwa hata kufisadi afisadi.

2. Mtu unakuta anapenda gari kubwa kubwa si viongozi tu, hii ni kwa waafrika wote.
3. Jamani hapa mnisamehe, tunapenda wanawake wakubwa wakubwa wenye maumbile makubwa makubwa, sasa hadi tumewaathili baadhi ya kina mama na sasa wana pigania kujiongezea maumbile makubwa makubwa.

Hapa nataka kusema hivi, kimsingi nafikiri waafrika kwa sababu wenda ya tamaduni tunapenda ukubwa na kuvuta attention ya watu wengine kwa fenomenani ya vikubwa vikubwa. Kutokana na hiyo, ndo maana watu wanatafuta ukubwa ama uongozi kw gharama yoyote ile na akifika kule, ni ngumu kuuchia ukubwa naku achia attention anayopata itoweke.

Sasa hao, majamaa wanaona ICC ni kikwazo kwao kuendelea ku maintain vitu vikubwa vikubwa. Maana kimsingi, ili uwe mkubwa lazima uendelee kuwa madarakani, na kuendelea kuwa madarakani kimsingi hata uwe mzuri vipi watu watakuchoka na kuhasi na wakihasi ina maana itabidi uwa extinguish , na process ya kuwa extinguish is where ICC kicks in.
 
Hapo kwenye BLUE ndugu mbona huyu huyu Museven ndio ameteuliwa kuwa msuluishi wa Mgogoro wa DRC je waliomteua hawayajui haya uliyoyaandika? au ni propaganda tu ambazo hazina ukweli.

Mkuu umeshajiuliza ni akina nani waliomteua? Madikteta wanateuana wenyewe kwa wenyewe ili kuendeleza udikteta wao!
 
Kenyatta is confused....ndo maana alitumia kila njia apate kinga ya urais! I think he must go. Hata hapa kwetu kuna jamaa anataka kutumia the same trick but it will no help him...mashitaka ya ufisadi yanamsubili....serikali isiyochukua hatua kwa wauaji wakuu wake wanasubiliwa icc
 
Utadharaulika na nani mkuu? Tatizo hii mahakama inabagua mataifa na nchi za kufuatilia. Waende Uingereza na Marekani wakafanye hivyo hivyo hakuna hata mtu atakayewaonyeshea kidole

Uingereza na marekani unataka kiongozi gani ashitakiwe? Kwa wenzety hamna vita vya wenyewe kwa wenyewe, ufisadi, uhalifu wa kivita, waasi hanma kule kuna democracy na hata maamuzi yatakatopelekea mtu kushitakiwa hayafanywi na mtu mmoja president ye anafanya uamuzi wa mwisho tuu signature or order mambo yanafanyika siyo kama waafrika hadi mapanga wanaenda kununua wenyewe sokoni
 
Utadharaulika na nani mkuu? Tatizo hii mahakama inabagua mataifa na nchi za kufuatilia. Waende Uingereza na Marekani wakafanye hivyo hivyo hakuna hata mtu atakayewaonyeshea kidole

Uingereza kuna Cameroon na Mareakani kuna Obama, je hawa nao wameua raia wao kwa kulinda wasitoke ama waingie madarakani? The way ulivyo comment inaonekana mawazo yako ni ya ki-Al Shababu au ya ki-Al Qaida!

Wewe washabikie watawala wa kiafrika kama huwajui tabia zao, wasipo simamiwa wataweza kuua maelfu ili ama waingie ama wabaki madarakani bila aibu. Hivi na sisi raia tukizikataa mahakama zetu za serikali ama za kidini (mfn. Mahakama ya Kadhi), je watawala wetu watakubali?

Kinara wa kuipinga ICC nchini Tanzania ni Benard Membe, anafanya hivyo aidha kwa kutumwa ama anataka kuingia Ikulu kwa kuoga damu za watu. HII HAIKUBALIKI! Huwezi kuogopa mahakama kama wewe si mharifu au unataka kufanya uharifu!
 
MKuu Tanzania pia imo hujaona juhudi za serikali yetu kutaka hata kesi ya Ruto au Kenyata iwe Kenya ? Na kamawanataka kujitoa ICC wajitoe pia kwenye vyama vingine vya misaada na wakatae misaada ya wazungu na wawekezaji wao wawakate na wao wasusie kwenda ulaya wala kutibiwa Ulaya .
 
Ukweli wakati wanasaini huu mkataba niliwapinga nikiamini ni ukoloni mamboleo,lakini kwa vile AFRIKA KAMA AFRIKA mpaka leo imeshindwa kuunda chombo chake imara cha kusimamia viongozi wake ambao wengi wao wana chembechembe za kidictator na ukatili kwa UMMA na 'iachwe ICC ifanye yake'.
 
Ukweli wakati wanasaini huu mkataba niliwapinga nikiamini ni ukoloni mamboleo,lakini kwa vile AFRIKA KAMA AFRIKA mpaka leo imeshindwa kuunda chombo chake imara cha kusimamia viongozi wake ambao wengi wao wana chembechembe za kidictator na ukatili kwa UMMA na 'iachwe ICC ifanye yake'.

Kiukweli sio, mie naamini ukoloni maombelo uko IMF na UN. Kama wangekuwa kweli wanatetea hoja zao wangeanza kujitoa huko kwanza. Jamaa ni wanafiki hawa, kwenye mpunga mbona hawaongelei kujitoa.
 
Back
Top Bottom