GreatApe
Member
- Sep 20, 2013
- 48
- 6
Ukweli hawa manyang'au wa Africa wana-practice era ambayo nahisi ni ya nyuma kuliko hata ya ukoloni. Badala ya kukutana wajadili wanaisaidianaje wasababishe maujibarani Africa wao wanfanya mambo ya ajabu kabisa. Yaani kwa ufupi wana-Africa wote tunapaswakupinga hili kwa nguvu zote..........................