Watawala wa Afrika ni waoga sana wa wapinzani

Mmawia

JF-Expert Member
Aug 20, 2013
121,947
95,237
Jana kulikuwa na mazungumzo kati ya Kiiza Besige na Bob Wine pale Kampala.

Walikubaliana kuungana pamoja na vyama vingine vya upinzani wa kweli ili kuunganisha nguvu.

Ili kukabiliana na chama cha Rais Museveni na hatimaye waweze kushinda na kuongeza idadi ya wabunge bungeni.

Leo asubuhi walipo amka wakakuta nyumba zao zimezingirwa na vikosi vya majeshi utadhani wao ni majambazi.

Watawala wa Afrika ni waoga sana wa kuondolewa madarakani.

Screenshot_20240118-191354_Instagram.jpg
 
Jana kulikuwa na mazungumzo kati ya Kiiza Besige na Bob Wine pale Kampala.

Walikubaliana kuungana pamoja na vyama vingine vya upinzani wa kweli ili kuunganisha nguvu.

Ili kukabiliana na chama cha Rais Museveni na hatimaye waweze kushinda na kuongeza idadi ya wabunge bungeni.

Leo asubuhi walipo amka wakakuta nyumba zao zimezingirwa na vikosi vya majeshi utadhani wao ni majambazi.

Watawala wa Afrika ni waoga sana wa kuondolewa madarakani .View attachment 2875707
Wakiongozwa na Magufuli.
 
Jana kulikuwa na mazungumzo kati ya Kiiza Besige na Bob Wine pale Kampala.

Walikubaliana kuungana pamoja na vyama vingine vya upinzani wa kweli ili kuunganisha nguvu.

Ili kukabiliana na chama cha Rais Museveni na hatimaye waweze kushinda na kuongeza idadi ya wabunge bungeni.

Leo asubuhi walipo amka wakakuta nyumba zao zimezingirwa na vikosi vya majeshi utadhani wao ni majambazi.

Watawala wa Afrika ni waoga sana wa kuondolewa madarakani .View attachment 2875707
Madaraka ni matamu sana na muda mwingine utengeneza watu wenyekujiamini kupita kiasi. Jambo ambalo hata wapinzani utamani sana kuyapata na kwa tabia hii ya kutamani kupata madaraka upelekea urafiki wa mashaka kati ya watawala na wapinzani na muda mwingine utengeneza uhasama kati ya watawala na upinzani, maana watawala hawako tayari kupoteza donge nono kwa upinzani.

Kiufupi mchezo huu ni sawa na ule wa paka na panya. Madaraka wewe ni hatari sana na kwa nini unagombanisha hawa viumbe wema?
 
Madaraka ni matamu sana na muda mwingine utengeneza watu wenyekujiamini kupita kiasi. Jambo ambalo hata wapinzani utamani sana kuyapata na kwa tabia hii ya kutamani kupata madaraka upelekea urafiki wa mashaka kati ya watawala na wapinzani na muda mwingine utengeneza uhasama kati ya watawala na upinzani, maana watawala hawako tayari kupoteza donge nono kwa upinzani.

Kiufupi mchezo huu ni sawa na ule wa paka na panya. Madaraka wewe ni hatari sana na kwa nini unagombanisha hawa viumbe wema?
Madaraka ni hatari sana
 
Back
Top Bottom