Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 52,646
- 164,798
- Thread starter
-
- #21
Huu wa.Tume ya Samia unakidhi viwango?Hawajachekewa mkuu... la kwanza ni wanatoa nafasi kwa nchi husika kuchunguza kwanza tuhuma za uhalifu unaodaiwa..ni baada ya hapo tu ndio ICC wanajiuliza Je uchunguzi huo unaridhisha viwango vya kimataifa?
Unajua kuna uchunguzi wowote wa mauaji unaofanyika hadi hivi sasa?
Funguka japo kidogo mkuu.X wanasema kimemo kimefika tayari kwake
Kabudi naye hafui dafu huko, kama Makesi ya makinikia iliwatoa jasho sembuse hii ya mauaji ambayo kila kitu kipo wazi , ataenda kutetea nini sasaIsrael walichukua miezi 5, tu,
Ila hapa machawa wanajitoa ufahamu ila kwenye mioyo Yao wanaomba kesi hisifunguliwe.
But binafsi kitendo Cha kushitakiwa na Intelwatch na Madrid Bar association na maneno ya Intelwatch director Dr.Paula
Itoshe kusema ni ngumu Samia kuchomoka. ICC Hawana haraka unaweza Kuta Hadi October ndo wanaibuka.
Since kesi ifunguliwe 13/11 muda Bado subiri angalau June
N.B Samia sio mjinga kumteua Prof Kabudi kazi maalumu
Aione Nasorro Katuga
Uchunguzi wa Chande hauchunguzi uhalifuUchunguzi wa Chande
Relax wamemshika pabaya sana.Hii Mahakama ya Kimataifa ya uhalifu dhidi ya binadamu(ICC), mbona inachukua muda mrefu sana hata kutoa taarifa ya wapi wamefikia au ni kinaendelea?
Jamani tufanyieni wepesi basi kabla machungu hayajapoa maana ni juzi tu tumetoneshwa kidonda kwa kauli za kiburi cha hali ya juu.
Inaenda step by step haitaki kuacha loose holes nyumaHii Mahakama ya Kimataifa ya uhalifu dhidi ya binadamu(ICC), mbona inachukua muda mrefu sana hata kutoa taarifa ya wapi wamefikia au ni kinaendelea?
Jamani tufanyieni wepesi basi kabla machungu hayajapoa maana ni juzi tu tumetoneshwa kidonda kwa kauli za kiburi cha hali ya juu.
Mtasubiri sana.Hii Mahakama ya Kimataifa ya uhalifu dhidi ya binadamu(ICC), mbona inachukua muda mrefu sana hata kutoa taarifa ya wapi wamefikia au ni kinaendelea?
Jamani tufanyieni wepesi basi kabla machungu hayajapoa maana ni juzi tu tumetoneshwa kidonda kwa kauli za kiburi cha hali ya juu.
ICC lazima kwenda tu, hakuna cha mashariti hapa , vinginevyo ICC ifutwe kwenye ulimwengu wa Dunia , unaua watu hata wasio na hatia then ,ACC Inaleta mashariti gani kama hautokua upuuziRelax wamemshika pabaya sana.
Unaambiwa, Ili asipelekwe ICC ,hayo matakwa aliyopewa , lazima tu aende ICC.
Ikishaundwa tume maana yake taasisi za kimataifa kina AU na EU inabidi na zenyewe ziunde tume ambayo itakuja kufanya kazi na tume ya Chande.Huu wa.Tume ya Samia unakidhi viwango?
Na kama uko sahihi, wanasheria wa kimataifa kutoka taasisi za kimataifa waliofungua kesi ICC, hawajui hili unalosemq?
DRC wamekufa watu zaidi ya 2000 kule uvira na kivu mara baada ya Kagame, Tshisekedi na Trump kutia saini makubaliano ya biashara ya madini kufanyika, nani kamshtaki Tshisekedi kwa mauaji hayo?.ICC lazima kwenda tu, hakuna cha mashariti hapa , vinginevyo ICC ifutwe kwenye ulimwengu wa Dunia , unaua watu hata wasio na hatia then ,ACC Inaleta mashariti gani kama hautokua upuuzi
Mpaka mda huu E.A wenda Tz inaongoza kwa mauaji ya wananchi wake ndani ya nchi , 29 Mo , tukitaka kuponya TAIFA lazima kila kitu ,tuuseme ukweli, bila papasa macho.Hii Mahakama ya Kimataifa ya uhalifu dhidi ya binadamu(ICC), mbona inachukua muda mrefu sana hata kutoa taarifa ya wapi wamefikia au ni kinaendelea?
Jamani tufanyieni wepesi basi kabla machungu hayajapoa maana ni juzi tu tumetoneshwa kidonda kwa kauli za kiburi cha hali ya juu.
Pole kwa msiba, tutakuwa tumejifunza kitu muhimu sana kupitia yale majanga. Vita haina macho.Mpaka mda huu E.A wenda Tz inaongoza kwa mauaji ya wananchi wake ndani ya nchi , 29 Mo , tukitaka kuponya TAIFA lazima kila kitu ,tuuseme ukweli, bila papasa macho.
Tumepoteza nguvu kazi ya taifa hili kwa kiwango cha kutisha , leo moja ya vijana wangu may be angekua S.A katika chuo cha kurusha ndege , nimebaki na komoja tu ka kike , kengine kapo huko Uganda nako ka kike ka ujana ,
Hivi Abdul, na nduguze wangepotea iyo MO , kweli pangekalika? Mtoto wa IGP angepote , mkurugenzi wa Tiss angepotea, ,mtoto wa CDF angepotea pangeshikika , kwamba kisa tu sie maskini ndo wanatufanyia hivi, hua watoto wetu bila hatia, watakufa vifyo vibaya sana asema Bwana
Hii Mahakama ya Kimataifa ya uhalifu dhidi ya binadamu(ICC), mbona inachukua muda mrefu sana hata kutoa taarifa ya wapi wamefikia au ni kinaendelea?
Jamani tufanyieni wepesi basi kabla machungu hayajapoa maana ni juzi tu tumetoneshwa kidonda kwa kauli za kiburi cha hali ya juu.