Ngwathra
Platinum Member
- Jul 11, 2007
- 6,101
- 11,686
Kitu kama hujui ni bora kukaa kimya kuliko kujiaibisha,
Huko Israel hatua gani za ndani zilichukuliwa kuhusu genocide aliyoifanya Natanyahu Gaza mpaka ICC ndio wakatoa Arrest warrant?
Umeelewa concept? Au unakurupuka tu kijana, unachoongea ni nini na mimi nimeandika nini? Unataka desa? Wabongo kukariri ndo maisha yetu