Ibenge hawezi kuiachia Yanga kirahisi rahisi

SAYVILLE

JF-Expert Member
Mar 25, 2010
6,995
11,502
Kuna hii dhana ipo vichwani mwa mashabiki wa Yanga kudhani Kocha wa Al Hilal Florent Ibenge anaenda kuilegezea Yanga ili ipate walau sare katika mechi ya Jumapili. Ngoja nikwambie kwa nini hilo ni gumu kutokea.

1. Al Hilal wanataka kumaliza group stage kwa alama nyingi inavyowezekana na bila kufungwa. Hapa kuna sababu tatu. Kwanza, ni kuhakikisha wanamaliza wakiwa wanaongoza kundi. Pamoja na kwamba sare inaweza kutosha kwao kujihakikishia kuongoza kundi ila asiwaamini sana Yanga kwenye hilo, wanaweza kukubaliana watoke sare wakawageuzia kibao mwishoni mwa mechi, awe makini sana.

Pili, kumaliza kwa point nyingi na kufika mbali kwenye mashindano ni kwa ajili ya CV binafsi ya Ibenge itakayombeba mwishoni mwa msimu. Tatu, wanataka wajiwekee rekodi zao wenyewe za kujivunia.

2. Al Hilal wana ukaribu na Simba. Simu moja tu kwa uongozi wa Al Hilal unafuta uwezekano wote wa Al Hilal kuilegezea Yanga labda kama simu hiyo ina ombi maalumu la namna hiyo ila sioni huo uwezekano.

3. Al Hilal lazima wajiulize nani ana uafadhali akija kukutana naye mbele ya safari, SM Algier au Yanga? Hili ni swali gumu ila wao ndiyo wanajua jinsi ya kulijibu.

Binafsi sioni kama Al Hilal wana vishawishi au sababu yoyote ya kuilegezea Yanga.
 
Kuna hii dhana ipo vichwani mwa mashabiki wa Yanga kudhani Kocha wa Al Hilal Florent Ibenge anaenda kuilegezea Yanga ili ipate walau sare katika mechi ya Jumapili. Ngoja nikwambie kwa nini hilo ni gumu kutokea.

1. Al Hilal wanataka kumaliza group stage kwa alama nyingi inavyowezekana na bila kufungwa. Hapa kuna sababu tatu. Kwanza, ni kuhakikisha wanamaliza wakiwa wanaongoza kundi. Pamoja na kwamba sare inaweza kutosha kwao kujihakikishia kuongoza kundi ila asiwaamini sana Yanga kwenye hilo, wanaweza kukubaliana watoke sare wakawageuzia kibao mwishoni mwa mechi, awe makini sana.

Pili, kumaliza kwa point nyingi na kufika mbali kwenye mashindano ni kwa ajili ya CV binafsi ya Ibenge itakayombeba mwishoni mwa msimu. Tatu, wanataka wajiwekee rekodi zao wenyewe za kujivunia.

2. Al Hilal wana ukaribu na Simba. Simu moja tu kwa uongozi wa Al Hilal unafuta uwezekano wote wa Al Hilal kuilegezea Yanga labda kama simu hiyo ina ombi maalumu la namna hiyo ila sioni huo uwezekano.

3. Al Hilal lazima wajiulize nani ana uafadhali akija kukutana naye mbele ya safari, SM Algier au Yanga? Hili ni swali gumu ila wao ndiyo wanajua jinsi ya kulijibu.

Binafsi sioni kama Al Hilal wana vishawishi au sababu yoyote ya kuilegezea Yanga.
Yote uliyoandika ni maoni yako binafsi.
 
Kuna hii dhana ipo vichwani mwa mashabiki wa Yanga kudhani Kocha wa Al Hilal Florent Ibenge anaenda kuilegezea Yanga ili ipate walau sare katika mechi ya Jumapili. Ngoja nikwambie kwa nini hilo ni gumu kutokea.

1. Al Hilal wanataka kumaliza group stage kwa alama nyingi inavyowezekana na bila kufungwa. Hapa kuna sababu tatu. Kwanza, ni kuhakikisha wanamaliza wakiwa wanaongoza kundi. Pamoja na kwamba sare inaweza kutosha kwao kujihakikishia kuongoza kundi ila asiwaamini sana Yanga kwenye hilo, wanaweza kukubaliana watoke sare wakawageuzia kibao mwishoni mwa mechi, awe makini sana.

Pili, kumaliza kwa point nyingi na kufika mbali kwenye mashindano ni kwa ajili ya CV binafsi ya Ibenge itakayombeba mwishoni mwa msimu. Tatu, wanataka wajiwekee rekodi zao wenyewe za kujivunia.

2. Al Hilal wana ukaribu na Simba. Simu moja tu kwa uongozi wa Al Hilal unafuta uwezekano wote wa Al Hilal kuilegezea Yanga labda kama simu hiyo ina ombi maalumu la namna hiyo ila sioni huo uwezekano.

3. Al Hilal lazima wajiulize nani ana uafadhali akija kukutana naye mbele ya safari, SM Algier au Yanga? Hili ni swali gumu ila wao ndiyo wanajua jinsi ya kulijibu.

Binafsi sioni kama Al Hilal wana vishawishi au sababu yoyote ya kuilegezea Yanga.
Alikwambia nani Yanga inataka kulegezewa?
 
Yanga hii haihitaji kubebwa. Al Hilal itake-isitake itafungwa tu. Labda wajitahidi kupata sare.

Yanga alifungwa mechi mbili za mwanzo kutokana na upepo mbaya uliokuwepo wakati huo.

Kwa utulivu wa sasa, kuchomoka kwa Yanga ni sare tu kwa mpinzani yeyote.

Acheni kuanza kujificha kwenye uzushi kuwa Yanga ataachiwa ili akishinda mjifanye mlijua.

Tafadhalini Simba, shughulikeni na mashindano yenu. Klabu bingwa si shirikisho..
 
Kuna hii dhana ipo vichwani mwa mashabiki wa Yanga kudhani Kocha wa Al Hilal Florent Ibenge anaenda kuilegezea Yanga ili ipate walau sare katika mechi ya Jumapili. Ngoja nikwambie kwa nini hilo ni gumu kutokea.

1. Al Hilal wanataka kumaliza group stage kwa alama nyingi inavyowezekana na bila kufungwa. Hapa kuna sababu tatu. Kwanza, ni kuhakikisha wanamaliza wakiwa wanaongoza kundi. Pamoja na kwamba sare inaweza kutosha kwao kujihakikishia kuongoza kundi ila asiwaamini sana Yanga kwenye hilo, wanaweza kukubaliana watoke sare wakawageuzia kibao mwishoni mwa mechi, awe makini sana.

Pili, kumaliza kwa point nyingi na kufika mbali kwenye mashindano ni kwa ajili ya CV binafsi ya Ibenge itakayombeba mwishoni mwa msimu. Tatu, wanataka wajiwekee rekodi zao wenyewe za kujivunia.

2. Al Hilal wana ukaribu na Simba. Simu moja tu kwa uongozi wa Al Hilal unafuta uwezekano wote wa Al Hilal kuilegezea Yanga labda kama simu hiyo ina ombi maalumu la namna hiyo ila sioni huo uwezekano.

3. Al Hilal lazima wajiulize nani ana uafadhali akija kukutana naye mbele ya safari, SM Algier au Yanga? Hili ni swali gumu ila wao ndiyo wanajua jinsi ya kulijibu.

Binafsi sioni kama Al Hilal wana vishawishi au sababu yoyote ya kuilegezea Yanga.
Yanga inawabamiza wapinzani wake wote waliobaki kama kawa; hakuna mgao !!
 
Yanga hii haihitaji kubebwa. Al Hilal itake-isitake itafungwa tu. Labda wajitahidi kupata sare.

Yanga alifungwa mechi mbili za mwanzo kutokana na upepo mbaya uliokuwepo wakati huo.

Kwa utulivu wa sasa, kuchomoka kwa Yanga ni sare tu kwa mpinzani yeyote.

Acheni kuanza kujificha kwenye uzushi kuwa Yanga ataachiwa ili akishinda mjifanye mlijua.

Tafadhalini Simba, shughulikeni na mashindano yenu. Klabu bingwa si shirikisho..

Yanga inawabamiza wapinzani wake wote waliobaki kama kawa; hakuna mgao !!
Mnajihakikishia ushindi utadhani mnaocheza nao hawaji nao kuutafuta huo huo ushindi. Lini mtajifunza mpira nyie watu?
 
Back
Top Bottom