ngara23
JF-Expert Member
- Aug 31, 2019
- 16,759
- 39,337
Ibenge ni Coach wa hadhi ya juu barani Africa alifanya makubwa akiwa na As Vita akaenda Al Hilal akacheza semi final ya CAFCL
Kwa CV ya Ibenge haikufaa kuja kufundisha Azam
Leo yupo Azam kujimaliza, timu haina uelekeo
Leo Azam wamenikera mno
Naheshimu maamzi yake labda alifata fedha
Kwa CV ya Ibenge haikufaa kuja kufundisha Azam
Leo yupo Azam kujimaliza, timu haina uelekeo
Leo Azam wamenikera mno
Naheshimu maamzi yake labda alifata fedha