Ibada za kutakasa ardhi/makazi

Ibada za kutakasa ardhi/makazi

Chukua ndimu za kutosha vitunguu saumu na chumvi ya mabonge changanya kavizike hapo mahali, pembeni ya mzunguko wa hilo shimo Zika mayai viza mane
Mshana jr ukweli hili sitafanya,mbona huu ni uchawi?nitaendelea kijikita ktk maombi najua ipo siku ardhi hii itatema vyote vilivyopan
 
Hilo somo gumu kama kiroho huko vizuri.utaona kama masihala,lakini ni jambo zuri sema changamoto iliyopo ni makuhani wetu na.mashekh uwezo wao wa kupambana katika ulimwengu wa roho ni mdogo sana.hawatofautiani na sisi.wengine wapo kwenye hizo huduma sio kwa wito kama ilivyokuwa kwa Walawi lakini wapo kimaslahi badala ya kuwa wapakwa mafuta wa Bwana.
hivi gwajima anatoaga pepo?
 
Nisomo refu naili utoke inatakiwa MTU anaemaanisha katika kujifunza NENO la MUNGU nakulielewa...nakufata Sheria zote za ..vinginevyo ndio utakutana na watu wanaokuelekeza kwenda sijui kwa Mtume Mara nabii...upuuzi mtupu..Nguvu za MUNGU zinashuka popote penye MTU anaemaanisha...nami nilkuwa MTU wakuhangaika na kuombewa hao waombeaji wakikuona unavipesa hawakusaidii shida iishe siku 1 wanataka kila siku uwe unakwenda baada yakugundua...Nikaamua kujifunza kusoma Neno la MUNGU nikienda Kanisani kwangu najiongezea maarifa tu...Nimeweka madhabahu nyumbani nakila kifanya maombi naitolea Sadaka...
So...kitu cha muhimu kujua NENO la MUNGU

Kwahiyo hiyo sadaka Mwisho wa siku inayeyuka tu au unajitolea mwenyewe unaitumia.
 
Kwahiyo hiyo sadaka Mwisho wa siku inayeyuka tu au unajitolea mwenyewe unaitumia.
Waulize viongozi sadaka huwa wanapeleka wapi baada ya kukusanywa. Mi nafikiri mahala pa kupeleka sadaka sio tatizo, Mwenyezi MUNGU atakuonesha (atakuongoza). Kuna wajane, masikini, wagonjwa, mayatima, kuchangia ujenzi wa shule ama nyumba za ibada n.k. Sidhani kama hilo ni la kujadili.
 
Waulize viongozi sadaka huwa wanapeleka wapi baada ya kukusanywa. Mi nafikiri mahala pa kupeleka sadaka sio tatizo, Mwenyezi MUNGU atakuonesha (atakuongoza). Kuna wajane, masikini, wagonjwa, mayatima, kuchangia ujenzi wa shule ama nyumba za ibada n.k. Sidhani kama hilo ni la kujadili.
Tarakilishi watumishi wa zamani ndo walitumia sadaka kadri MUNGU alivyoelekeza,walio wengi ni kujitajirisha tu na majumba na magari,kuna mtumishi mmoja huwa anapiga kabisa simu,anakwambia nahitaji hela nimlipie mwanangu ada naomba unisaidie ndo iwe sadaka yako,jamani ni sawa hii.?yani mtu unakwazika sana.unakuwa mzito hata kwenda kwenye ibada maana utakutana na huyo mtumishi,na alikuomba hela haujampa.
 
Upako upo Kwa chief apostle mtalemwa wa ECG, ni wiki moja iliyopita alitangaza mfungo ulioendeana Na maombi haya na kutufundisha vifungu vinavyothibitisha na Vya kusimamia Ukombozi wa Ardhi Yako, pia aliombea Ardhi Za mahali tunakotoka na kuzifungua. Soma nyakati wa pili 7:14 , mwanza 2:7, mithali 26:27 na Isaya 42:22. Jinsi ya kufanya udon go ukupe Baraka, chukua udongo kwenye chimbuko lako iwe utokako au unakoishi, omba Kwa kutumia mistari hiyo, pulizia pumzi Yako kuipa uhai, vua Viatu Kanyaga Ardhi huku unaonyesha kitendo cha kuteka na ku possess Kama alivyofanya TB Joshua alivyokanyaga TZ, hapa simamia Joshua 1:3, Amuru Ardhi kutapika kila kilichomezwa katika Hatima Yako. A mini imekua na pokea Kwa jina la yesu sawa na mafunzo ya Chief Apostle. Hii ni Kwa Imani ya dini yangu

Wa

Total rubbish
 
Tarakilishi watumishi wa zamani ndo walitumia sadaka kadri MUNGU alivyoelekeza,walio wengi ni kujitajirisha tu na majumba na magari,kuna mtumishi mmoja huwa anapiga kabisa simu,anakwambia nahitaji hela nimlipie mwanangu ada naomba unisaidie ndo iwe sadaka yako,jamani ni sawa hii.?yani mtu unakwazika sana.unakuwa mzito hata kwenda kwenye ibada maana utakutana na huyo mtumishi,na alikuomba hela haujampa.
Hii ndio sababu kubwa ambayo hunifanya mm nisipendelee sana kupeleka sadaka yangu kwenye kapu la nyumba za ibada. Hata hivyo kuna nyakati itakupasa upeleke kwa kutambua kuwa kuna vitu kama bili za umeme, maji na marekebisho madogo madogo ya jengo la ibada. Pia kuna nyakati ambazo tunapaswa kuwachangia watumishi ambao ni masikini ili kuwapunguzia mzigo wa kuendesha familia zao na kumtumikia Mwenyezi MUNGU kwa kufundisha wengine. Tujiepushe na kuwajazia utajiri mkubwa watumishi na hali jirani zetu wanalala njaa ww unakazana tu kupeleka fedha kanisani/msikitini. Kuna mtu hasaidii ndugu zake halafu anapeleka sadaka yote kwenye nyumba ya ibada! Kupeleka sadaka kwenye nyumba ya ibada si jambo baya lkn kumbuka Ibada njema inaanzia nyumbani.
Kuna haja ya kuwa tunasikiliza maelekzo ya rohoni mwetu ili kujua Mwenyezi MUNGU anatutaka tupeleke wapi sadaka, kumbuka sadaka ni ya Mwenyezi MUNGU, Hivyo ana nafasi kubwa ya kukuongoza mahali pa kupeleka sadaka kama ukidhamiria kutoa kwa imani.
 
Well said mshana jr,baada ya kuhamia nilipojenga nikapata habari kuwa bibi alieniuzia alikuwa ni mganga,na hapa ndo alipokuwa akifanya matambiko maana kuna mwembe mkubwa sana.sina la kufanya nimekuwa nikibeba viudongo na kwenda navyo ibadani na kuomba mimi mwenyewe,japo hadi sasa naona lipo tatizo.nashindwa kuwashirikisha viongozi wa dini,maana wamekuwa wa kimaslahi zaidi.kila mtumishi siku hizi mwisho wa mahubiri yake anaweka no.za simu ili atumiwe pesa.sijui tumwamini nani jamani.
Achana na hao watu Ingia YouTube... Msake Mwakasege...amepiga sana hayo masomo ningeweza kurusha AUDIO humu ningeweka
 
Waulize viongozi sadaka huwa wanapeleka wapi baada ya kukusanywa. Mi nafikiri mahala pa kupeleka sadaka sio tatizo, Mwenyezi MUNGU atakuonesha (atakuongoza). Kuna wajane, masikini, wagonjwa, mayatima, kuchangia ujenzi wa shule ama nyumba za ibada n.k. Sidhani kama hilo ni la kujadili.
Sijui watu wengine wanaendaga kwenye majengo ya Ibada kufanya nini Inaonekana watu wengi wanakwenda huko tena kwa kuwahi Lengo nikukaa karibu na Soketi ya umeme ili kuchart Mtu hajui kazi ya Sadaka! Iko siku nitaleta somo la Umuhimu wa Sadaka na Madhabahu...kumbe kuna watu hawajuagi kwanini wanaendaga..kwenye Ibada
 
Tarakilishi watumishi wa zamani ndo walitumia sadaka kadri MUNGU alivyoelekeza,walio wengi ni kujitajirisha tu na majumba na magari,kuna mtumishi mmoja huwa anapiga kabisa simu,anakwambia nahitaji hela nimlipie mwanangu ada naomba unisaidie ndo iwe sadaka yako,jamani ni sawa hii.?yani mtu unakwazika sana.unakuwa mzito hata kwenda kwenye ibada maana utakutana na huyo mtumishi,na alikuomba hela haujampa.
Sikila aniitae Bwana Bwana...so...mtawatambua kwa matunda yao!
 
Umesema kweli,ila mimi nashangaa mtu anapohamia kwenye nyumba mpya aliyojenga wengine huwaita waganga wakienyeji eti wazindike nyumba, badala umuite Sheikh au Padre, Mchungaji akaiyombea na kuibariki.

Tofauti ya huyo wa kwanza na unayemshangaa ni nini?
 
Acheni huu uPUMBAVU MTU yoyote anaweza kuwa na uPAKO akilijua NENO nakumuabudu MUNGU kwa kumaanisha mimi Mbona nimejiombea Mwenyewe Vifungo vya uchawi..mizimu..madhabahu..navyote vimekwisha...acheni kuwaibia watu
Hiyo si sababu ya kupuuza uwezo, nguvu Na upako walionao watumishi wa Mungu, pengine wewe umeweza wenzako hatujaweza kuna Shida gani? Huo moyo wa dharau haute desk Bwana
 
Hiyo si sababu ya kupuuza uwezo, nguvu Na upako walionao watumishi wa Mungu, pengine wewe umeweza wenzako hatujaweza kuna Shida gani? Huo moyo wa dharau haute desk Bwana
[emoji15] [emoji144] [emoji144] [emoji144] [emoji144]

Sent from my INFINIX-X551 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom