Ibada za kutakasa ardhi/makazi

Ibada za kutakasa ardhi/makazi

Nachangia Uzi huu kwa kusema kuwa tatizo kamwe sio Ardhi bali ni dhambi za watu na nguvu za Giza ambazo zinafanyakazi kupitia watu na vitu.

Hakuna haja kutakasa Ardhi wala Nyumba. Kama wewe umetakaswa vitu hivyo vimetakaswa. Hatuombi Mungu atakase nyumba tunaomba atulinde.

Usilaumu watumishi, wote tuna mamlaka ktk ulimwengu wa kiroho kama tunampenda kikweli
 
Kwa imani Mwenye Enzi Mungu aliyo nipa, naitakasa ardhi ya nchi yangu Tanzania, nchi yangu naibariki kwa baraka maradufu, iwe na wealth, upendo, amani na watu wake including me tuwe na hekima na busara na knowledge mpya ambazo hazijawahi kutokea duniani, baraka hizi ziwe kwetu sisi watanzania tu pamoja na vizazi vyetu vyote milele yote katika jina la Yahushua ha Mashaich, Amen Ra
 
Ardhi na anga ya nchi yetu Tanzania haita wapa tena na foreigners utukufu wake bali itawalisha watoto wake ambao ni watanzania pure!
 
Kwa imani Mwenye Enzi Mungu aliyo nipa, naitakasa ardhi ya nchi yangu Tanzania, nchi yangu naibariki kwa baraka maradufu, iwe na wealth, upendo, amani na watu wake including me tuwe na hekima na busara na knowledge mpya ambazo hazijawahi kutokea duniani, baraka hizi ziwe kwetu sisi watanzania tu pamoja na vizazi vyetu vyote milele yote katika jina la Yahushua ha Mashaich, Amen Ra
Aaamen
Ardhi na anga ya nchi yetu Tanzania haita wapa tena na foreigners utukufu wake bali itawalisha watoto wake ambao ni watanzania pure!

Asante Mola wetu!
Inshallah

Sent from my INFINIX-X551 using JamiiForums mobile app
 
Nachangia Uzi huu kwa kusema kuwa tatizo kamwe sio Ardhi bali ni dhambi za watu na nguvu za Giza ambazo zinafanyakazi kupitia watu na vitu.

Hakuna haja kutakasa Ardhi wala Nyumba. Kama wewe umetakaswa vitu hivyo vimetakaswa. Hatuombi Mungu atakase nyumba tunaomba atulinde.

Usilaumu watumishi, wote tuna mamlaka ktk ulimwengu wa kiroho kama tunampenda kikweli
Wengi hawatakuelewa
 
Tuendelee na mtiririko wa mada zetu
Kama kuna kitu kinapokea uchafu na najisi za kila aina basi maji na ardhi vinaongoza...lakini leo ningependa nijikite kwenye ardhi pekee kwakuwa ndio makazi yetu yalipo...
Nimesoma paragraph ya mwisho tu. Jifunze ku-summerize
 
moowon-drokpas-tibet-spirits-rituals-festivals-diane-barker-38.jpg
 
Uchaggani bibi/babu akitaka toa laana anamwaga maziwa chini huku akifanya nayo maagano,
Hivyo hivyo akitaka ubarikiwe atamwaga maziwa ardhin huku akiomba popote uwendapo utafanikiwa
Hiyo unaweza sema ni mila but ni ardhi inaombwa ifanye mema au mabaya
 
Uchaggani bibi/babu akitaka toa laana anamwaga maziwa chini huku akifanya nayo maagano,
Hivyo hivyo akitaka ubarikiwe atamwaga maziwa ardhin huku akiomba popote uwendapo utafanikiwa
Hiyo unaweza sema ni mila but ni ardhi inaombwa ifanye mema au mabaya
[emoji15] [emoji15] [emoji144] [emoji144] [emoji144] [emoji144] [emoji115] [emoji115] [emoji779] [emoji779] [emoji779]
 
Back
Top Bottom