kwa wanao amini;
ivi mbinguni tutapewa miili na rangi mpya let say watu wote tuwe wa blue,au wote tuwe black kusiwe na masuala ya wazungu na waafrika, waarabu n.k
wale washkaji kina emolo watarefuka?
Ivi kweli tutakuwa level sawa na kina ibrahim na nuhu wa kwenye vitabu vya dini?
hakutakuwa na o'bey na kwa mtogole?.....
ivi mbinguni tutapewa miili na rangi mpya let say watu wote tuwe wa blue,au wote tuwe black kusiwe na masuala ya wazungu na waafrika, waarabu n.k
wale washkaji kina emolo watarefuka?
Ivi kweli tutakuwa level sawa na kina ibrahim na nuhu wa kwenye vitabu vya dini?
hakutakuwa na o'bey na kwa mtogole?.....