Umepotea kijana, hilo shugamami utakuwa nalo mpaka lini?
yani alivyovidai havipend ndo alivyonavyo mwenyewe.:nono:kaandika namba yenye digit 11 co 13,hata hivyo it seems he isn't serious!!
watu wengine cjui vipi,mi nasema jimama,wewe unakuja kusema jibaba!
Lol..........best wangu..........habari za athubuhi
muda wote ambao yeye atataka!
Sijapotea,kwani mpaka na update thread I knew that kupotea kupo.