Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,703
- 218,236
Huyu mtu muhimu sana kwenye siasa za ukombozi wa nchi hii leo anatimiza miaka kadhaa tangu azaliwe , kiukweli nitakuwa mchoyo wa fadhila nikishindwa kumpongeza shujaa huyu wa Taifa , ambaye ametumia Utajiri wake wote kupigania ukombozi , kila mtu aliyejitutumua kupambana naye watawala wamempandisha cheo .
Mungu mbariki Mbowe , mpe maisha marefu .
Mungu mbariki Mbowe , mpe maisha marefu .