Binti Magufuli
JF-Expert Member
- Apr 2, 2011
- 7,484
- 5,142
Yani unapotafakari na kusikiliza kuhusu mambo ya wanaume kwenye mahusiano almost kila mwanamke ana story ambayo ni negative ya kueleza kuhusu hawa viumbe wa ajabu, ni wachache sana ambao hawajawahi kutendwa na hawa viumbe wenye roho ngumu (wanaume). Yaani wanaume wana roho ngumu kama mawe vile....anapokutenda hata haangalii kwamba utaumiaje, hawana hata huruma!!! alafu tabia zao kama zinafanana vile (yani baba mmoja mama mbalimbali, mwalimu wao mmoja). Mwambie tu ajipe moyo na kumuomba Mungu kwani ipo siku atampatia wa kumpoza machungu na kumliwaza..............hata niandike vipi sitaweza kumaliza nondo zangu kuhusu wanaume....