Safina
JF-Expert Member
- Jun 18, 2009
- 497
- 64
Iombee na avata yako ishindwe
Yake ishindwe, hila yako huwa nikiiona mwili unanisisimka!!!!!!!!!!!!!!!!
Iombee na avata yako ishindwe
wakuu,
takribani siku 30 zijazo sitakuwa na access na mitandao ya internet - naenda kwenye "retreat" parokiani kwetu - kabashana
kwa kipindi hicho chote itakuwa ni kufunga na kusali masaa 24.
Mungu awabariki nyinyi wote na familia zenu mmalize salama kipindi hiki cha sikukuu...
Tutawaombea
I am missing Mama Enock!
hahahaha lol Rev umeanza uchokozi??
Vipi maandalizi ya siku ya kuzaliwa Bwana Wetu yanaendeleaje???
maana nahisi sasa utakuwa busy sana na mambo ya kanisa ..
au vipi??
Yaani wewe acha kabisa mikrismas tree imapanda bei sana! nimeshauri wanunue tarehe 26 bei itakuwa sawa na bure
have a safe journey baba enock,,,, but dont 4gert meeeeee,,,,,,,,, i will miss you so much,,,,,i feel like to b with you there,,,,,,,,may allah bless you.
dah......... nice one kwa holiday season
:wave::wave::hug::whoo::whoo::whoo::whoo:
nini tena maria bibie asubuh yote hii wataka pigana naona umeshika kasi,,,, umeamkaje lakin??? sabaha l kheyr???
:wave::wave::hug:
:whoo::whoo::whoo::whoo:
maria rosa wallah hyu mtoto ataka nitia wazimu saa hii asubuhi asubuhi.........hajui mwenzake treni iko mwesho wa reli kigomaaaa