I wapi ile thread ya kuchakachua facebook?????

I wapi ile thread ya kuchakachua facebook?????

Status
Not open for further replies.

NOT FOUND

Senior Member
Joined
Mar 14, 2011
Posts
158
Reaction score
59
Nimekuwa nikiufuatilia sana ule uzi wiki yote, but nimeutafuta leo siuoni, what happened?
 
Nimekuwa nikiufuatilia sana ule uzi wiki yote, but nimeutafuta leo siuoni, what happened?

Kwanza na wewe msanii ungekuwa ni mfutliaji mzuri wa ile thread uzi wakoo huu ungeaundka nyingi na si leo.

Pili hii thread peleka kwenye complaints kule utapatamajibu
 
Wamiliki wa JF wameiondoa wanaogopa tusipate hiyo elimu maana wanahisi tunaweza kufanya majaribio yetu hapa kwao.... Hata wakibana tutaipata kwingine tu siyo lazima hapa JF....


Na weza kusema kuifuta ile thread ni kuishiwa kwa MODS wa JF maana imekaa takriban wiki nzima hivyo watu tumeshapata elimu ile iliyo kusudiwa... Forums za mijadala kama ile zipo nyingi tu siyo lazima iwe hapa....


Pia naomba hao MODS walio ipoteza ile thread waipoteze na ile topic ya kuchakachua modem kama hawataki mambo ya uchakachuzi.
 
Hii nilishaijua itachakachuliwa..so nilicopy baadhi ya codes muhimu zote na ninazo hapa,so ukitaka niPM nitakuatia zile ambazo nimezisave.!!
 
Hii nilishaijua itachakachuliwa..so nilicopy baadhi ya codes muhimu zote na ninazo hapa,so ukitaka niPM nitakuatia zile ambazo nimezisave.!!


:becky::becky::becky: ziweke tu hizo code tujifunze maana jamaa kuna watu wariruhusu awa hca aaishi kuonyesha ligin window ya admin panel.
 
:becky::becky::becky: Ziweke tu hizo code tujifunze maana jamaa kuna watu wariruhusu awa hca aaishi kuonyesha ligin window ya admin panel.

we jamaa mnafiki kinoma yan, comment yako YA KWANZA hapo juu imekaa kimajungu.
 
we jamaa mnafiki kinoma yan, comment yako YA KWANZA hapo juu imekaa kimajungu.

Pole kamanda unajua week end hiiii tena usikonde na na safari larger na mwanga wa screen havipatani. teh teh teh

Ila umenichekesha mnafiki na hapo hapo majungu.

Mtu mwenye majungu na mfaiki ni yule anaogpa kumwambia mtu ukweliau kile anchoamini kwa kuogopa kumuuzi. Kama unaona nimekudhi ujue sina unafiki wala majungu.

But nisamehe mkuu ile thread ilikuwa bomba. Laikini sidhani ama yule jamaa angeweza kuhack Au kumbusha aliishia wapi ?
 
pole kamanda unajua week end hiiii tena usikonde na na safari larger na mwanga wa screen havipatani. Teh teh teh

ila umenichekesha mnafiki na hapo hapo majungu.

Mtu mwenye majungu na mfaiki ni yule anaogpa kumwambia mtu ukweliau kile anchoamini kwa kuogopa kumuuzi. Kama unaona nimekudhi ujue sina unafiki wala majungu.

But nisamehe mkuu ile thread ilikuwa bomba. Laikini sidhani ama yule jamaa angeweza kuhack au kumbusha aliishia wapi ?

peace and love
 
Mh!!

"Jamii forum where we dare to talk openly"

Hii slogan imekaa kitapeli tapeli.....Kama nakosea haya we dont dare..pia kuna ma moderator ni MAFISADI.

anyway u can stop the thread but watu washajua!!!!

cheers...
 
ILE thread ipo, hii hapa http://www.google.co.tz/url?sa=t&source=web&cd=1&ved=0CBwQrAIoADAA&url=http%3A%2F%2Fwww.jamiiforums.com%2Ftech-gadgets-and-science-forum%2F139427-jinsi-ya-kuchakachua-facebook-account-ya-mtu-for-fun-new-post.html&ei=lFjsTbHMDcKVOp-WiYwB&usg=AFQjCNHRsPIkuJBOi-3LNuxlg3VcL2ZjqA

ila cha kushangaza ni kwamba wameiblock ili moderators wasome na kujifunza wao wenyewe...Anyway. poa tu UFISADI unaendelea

SHAROBALO, you do not have permission to access this page. This could be due to one of several reasons:
  1. Your user account may not have sufficient privileges to access this page. Are you trying to edit someone else's post, access administrative features or some other privileged system?
  2. If you are trying to post, the administrator may have disabled your account, or it may be awaiting activation.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom