I think I LOVE YOU!

I think I LOVE YOU!

Namumunya nini tena kakondoo wakati nimeshamnong'oneza?

Sasa mbona unasema.....I think I LOVE YOU??? How can you prove that its YOU & HIM against the world especially at this time umeamua kuanzisha huu uzi?? Au unafanya maigizo!
 
ntatoa samtrela moja.

Ujue nina kampuni ya usafirishaji wa mizigo kwenda zambia, malawi, congo, rwanda na burundi.
Kwahiyo tutapata lift ya kwenda 'MWEZI wa ASALI' Congo?
 
Sasa mbona unasema.....I think I LOVE YOU??? How can you prove that its YOU & HIM against the world especially at this time umeamua kuanzisha huu uzi?? Au unafanya maigizo!

Sasa kakondoo si sijajua kwa uhakika?
Au nidanganye nampenda alafu kesho niamke simpendi?
 
Na ndivyo ulivyo mnong'oneza ukamwambia kwamba hujajua kwa uhakika?? Hadi ukapata guts za kumuanzishia uzi......Really??

We kakondooo!!!

Mi naenda zangu kulala
 
Kwa nini hupendi kufanya discussion na mimi, whenever I get serious into something in concern?? Tell me....

Hapa tu bana kwasababu naona tunapishana sana. . .
 
Lizzy, nimeona thread yako 'I think I love you' imeingia after thread ya Senetor 'I think she doesn't love me'. Nimechekwa kweli. :lol::lol::lol:
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom