teh teh nilijua tu mapovu lazima yakutiririke.....ukweli lazima usemwe hata kama unakuuma. Have a nyce n lovly lunch eeehwewe ndio mwenye mapenzi ya uongo, jisemee mwenyewe otherwise leta data hapa
segajob, pass through this quote briefly.. swali je umemtumia sms, maua?? umempigia simu?? umemfanyia nini wewe segajob??ey why dont u call him, text him and wish him and later on take him out? dont be a looser expecting things...expectations is far different from reality..watu wengine hawana time issue hzi za valentino
This is a private business. Hayatuhusu.It is valentine, and this guy has not called to wish me a happy day and neither has he told me anything about taking me out after work. I feel so left out, No flowers and really annoyed and if nothing good happens later in the day am leaving him. I swear.
hata ningekuwa mimi ningempiga chini hata sms jamanii don't think this is the main reason. Au ulikuwa unatafuta pa kutokeaaaaaaaaaaaaaaa
Na wewe acha ubinafsi, mapenzi siyo one side game hata yeye anapaswa kumtumia sms aone kama mwenzake atakaa kimya bila kureply, mimi nina mapenzi siku zote kwahiyo Valentines day nothing special to me, Watanzania wengi wanapaswa kusherehekea kwa kishindo April Fool maana ndiyo sikukuu inayowahusu hasa.hata ningekuwa mimi ningempiga chini hata sms jamani
kazi ya mpenzi wangu ni kunifurahisha haijalishi ni kwa madogo au mazuri.hicho kibarua kikimshinda ndo hivo tena biashara lazima ikwishe nae.yaani hata gmoning nisipewe ,kwanini moyo wangu unune ?akuuuNa wewe acha ubinafsi, mapenzi siyo one side game hata yeye anapaswa kumtumia sms aone kama mwenzake atakaa kimya bila kureply, mimi nina mapenzi siku zote kwahiyo Valentines day nothing special to me, Watanzania wengi wanapaswa kusherehekea kwa kishindo April Fool maana ndiyo sikukuu inayowahusu hasa.
hata ningekuwa mimi ningempiga chini hata sms jamani
Du! kumbe naweza nikaachwa hivi hivi, ngoja nitume sms.........hata ningekuwa mimi ningempiga chini hata sms jamani
Ndio maana mapepo huwapata wanawake tu!? maana makanisa yote ya upako wanaotolewa mapepo na kudondoka hovyo ni wanawake, naconnect dots zangu kwangu kwanza.kazi ya mpenzi wangu ni kunifurahisha haijalishi ni kwa madogo au mazuri.hicho kibarua kikimshinda ndo hivo tena biashara lazima ikwishe nae.yaani hata gmoning nisipewe ,kwanini moyo wangu unune ?akuuu