I real miss this man

He was hypocricy just like others, bse of him we have this one.
 
I will never miss him as a leader.

He was very weak and corrupt. full of nepotism for his friends and those around him. Damage aliyoisababishia nchi yetu will not be fully understood mpaka labda miaka mingi ijayo.....
Amen RA. ...MAULANA ATUSIKIE KILIO CHETU. ...nchi ilikuwa inauzwa. ..utaichukiaje nchi yako mwenyewe kiasi kile. ..wanyama wetu mbugani wanauzwa kama mchicha. ...ehh MOLA WANGU. ..
 
Na kweli mkuu matendo yake tuliyaona kuanzia bandarini,migodini,mbugani,wizarani,hospitalini,shuleni na kwingineko na mpaka kwa Faru John,twiga walopanda ndege,aisee,full vitendo mkuu
Muuza vitumbua mie kupiga dili wapi na wapi na mm?
 
Jpm amekomesha mliozoea kubebwa mgongoni wakati miguu ya kutembelea mnayo
Wewe unayekebei wenzio una biashara gani unayofanya ? kama siyo kupewa ujira na airtime kwa kukaa kwenye mitandao na kujibu kila posit inayohusu kero za watu! Unajishaua wakati unajaza tu request form!
 
Ukitaka kujua njia za shortcut wewe kula nauli tu nahisi mmeshanielewa naimanisha nini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…