Kingdom_man JF-Expert Member Joined May 19, 2010 Posts 405 Reaction score 463 Oct 3, 2011 #1 find the CAT from this picture. Carefully!!
Kwetunikwetu JF-Expert Member Joined Dec 23, 2007 Posts 1,535 Reaction score 421 Oct 3, 2011 #2 Huyo hapo
M mwacheni77 JF-Expert Member Joined Apr 11, 2011 Posts 763 Reaction score 210 Oct 3, 2011 #3 Unatoa zawadi gan?
Preta JF-Expert Member Joined Nov 28, 2009 Posts 24,320 Reaction score 18,886 Oct 3, 2011 #4 nitafute cat au car.....?
Jeji JF-Expert Member Joined Jun 28, 2011 Posts 1,973 Reaction score 372 Oct 3, 2011 #5 mimi simuoni.
Mzee Platinum Member Joined Feb 2, 2011 Posts 13,620 Reaction score 5,867 Oct 3, 2011 #6 Tangaza dau, hakuna kazi ya bure.
figganigga Platinum Member Joined Oct 17, 2010 Posts 27,760 Reaction score 63,096 Oct 3, 2011 #7 mbona kati wapo kibao kwenye hiyo picha yako?kwani wewe umeona mmoja tu?
J johnmoney Member Joined Nov 2, 2010 Posts 50 Reaction score 1 Oct 3, 2011 #8 Yes: Kuna paka 7, nyongeza tu , Mbwa 8, Magari madogo 9 na watu 20 wamekaa chini ya miti 37
Emanuel Makofia JF-Expert Member Joined Jan 5, 2010 Posts 3,832 Reaction score 637 Oct 3, 2011 #9 naona wawili at the centre!
super thinker JF-Expert Member Joined Nov 16, 2010 Posts 371 Reaction score 110 Oct 3, 2011 #10 natafsiri "nakuahidi kuna paka kwenye hii picha",kweli lugha si yetu..........sasa unamuhaidi nani na nini kwanini???
natafsiri "nakuahidi kuna paka kwenye hii picha",kweli lugha si yetu..........sasa unamuhaidi nani na nini kwanini???
Roulette JF-Expert Member Joined Dec 15, 2010 Posts 5,568 Reaction score 5,388 Oct 3, 2011 #11 Mi nilimuona straight. pale chini ya mti, kuvuka ka path kwa chini hivi
K kingmajay Member Joined Jul 22, 2011 Posts 72 Reaction score 6 Oct 4, 2011 #12 Nimemuona 1 upande wa kushoto akiwa anafukuza panya
Rejao JF-Expert Member Joined May 4, 2010 Posts 9,219 Reaction score 4,087 Oct 4, 2011 #13 Kwetunikwetu said: Huyo hapoView attachment 38253 Click to expand... DAH! we mkali... umemwonaje?
R Rubuye123 JF-Expert Member Joined Dec 18, 2009 Posts 2,379 Reaction score 1,946 Oct 4, 2011 #14 hata mi nilimuona,ila sema akatokea panya mmoja si yule paka akaanza kumtoa nduki!amekimbia bana!
Vinci JF-Expert Member Joined Jul 6, 2009 Posts 2,637 Reaction score 675 Oct 6, 2011 #15 dah....nimemuona ila imenichukua muda kidogo....kwenye mawe pembeni chini ya mti