Narudi tena,Dogo kama umepata muda wa kusikiliza vizuri hiyo mimbo niliyokupa hapo juu nadhani unaweza kuwa umepata japo jibu kidogo lakini kikubwa nachoweza kukuambia ni kuwa ridhika na Kozi uliyoipata nenda kasome mengine yatafuata,na nisisikie tena eti umemaliza kozi yako kisha unataka kuishi Dar sitakuelewa,halafu [MENTION=80055]Madame B[/MENTION] msiri wangu ujue nakutamani kweli,hata sijui siku tukionana nani atakayempa adhabu mwenzieee..