Preta
JF-Expert Member
- Nov 28, 2009
- 24,323
- 18,793
Matenite unaposti vaya mobaili? Matenite wodi ya gesti hausi ipi?
he he....subiri nitoke.....
Matenite unaposti vaya mobaili? Matenite wodi ya gesti hausi ipi?
he he....subiri nitoke.....
Tatizo unacheka afu unasahau kunigongea kaLIKE. Unajua mi na Ka-LIKE ni sawa na Sisiemu na uchakachuzi Igunga.Nimecheka kwa mara ya kwanza toka asubuhi...lol.. Matenite ya gesti hausi???..
Kiingilio ni miguu yako lakini ufumbe macho..ha haaa haaa...............naomba niwe mgeni hapa
Na kweli maana naona hata kajina kako kameandikwa na karangi ka damu. sijui ndo inamaanisha umejifungua jambawazi la kiume? Naomba protoko izingatiwe.....he he....subiri nitoke.....
Via mobile na like, wapi na wapi babu?... Ila usijali, utanidai like moja siku nikinunua laptop nitakulipa....lolTatizo unacheka afu unasahau kunigongea kaLIKE. Unajua mi na Ka-LIKE ni sawa na Sisiemu na uchakachuzi Igunga......
Khaaa! Unanitisha ujue!
Hilo nalijua, sasa huyu hapa chini mbona anitishia nyau?
we ni sangara au papa?
Umepotea sana leo! Kwema huko? Sio vizuri kutishana ujue!Nia yangu utishike...
Umepotea sana leo! Kwema huko? Sio vizuri kutishana ujue!
Khaaa! Mwache mwenzio jamani, umbea gani unaoutaka? (Wa konda au dereva wake? lol) Kwa taarifa yako CUF wameshindwa vibaya huko Igunga!Nilikumiss wewe. Lete umbea sasa.lol.
Pole kwa safari... Nipo home nakusubiri!...Si wajua igunga mbali wangu....safari ndefu ila nafika home soon
Khaaa! Mwache mwenzio jamani, umbea gani unaoutaka? (Wa konda au dereva wake? lol) Kwa taarifa yako CUF wameshindwa vibaya huko Igunga!
Pole kwa safari... Nipo home nakusubiri!...
Khaaa! Mwache mwenzio jamani, umbea gani unaoutaka? (Wa konda au dereva wake? lol) Kwa taarifa yako CUF wameshindwa vibaya huko Igunga!
...lol... Why kwenye kisosi? Unarudi na lile vumbi jekundu la Igunga?Mpe umbea mwenzio...atakosa usingizi
Yaani nikifika niloweke kwenye kisosi
Nini tatizo swt? Nambie nani mchokozi nkapigane sasahivi...leo nina huzuni sana mwenzio.
Nini tatizo swt? Nambie nani mchokozi nkapigane sasahivi...
...lol... Why kwenye kisosi? Unarudi na lile vumbi jekundu la Igunga?
Nini tatizo swt? Nambie nani mchokozi nkapigane sasahivi...