Nakumbuka kwenye thread yangu moja ulielezea kuhusu Brother yako, sijasahau...Nakumbuka kidogo kile kipande
ulichosema kuna wakati ilitokea tatizo wewe ukajibanza mahali na kulia akaja na yeye mkaanza kulia wote.
Its painful kumpoteza unayempenda.
Some years back i lost my father halafu after three years i lost my mom. Kibaya zaidi Kaka yangu ambaye alinijali
na kutupenda sana naye akaondoka ....Hii ya mwisho iliniumiza sana kwa sababu ilirudisha kumbukumbu zote za nyuma.
nameless girl, pole sana, yanapita.
ubarikiwe sana ndugu yangu.najiamini mimi nipo strong.ila kwa hili naona kama napoteza nguvu kila siku.kama leo nimelia ibada nzima cause leo ni siku ya uimbaji kwaya ya kina mama ilikuwa inaimba yaani i wish she was there.wamenikumbusha mbali sana.sijui hata nifanyeje tena.Pole sana, Kuna andiko moja nalipenda sana (A) Mhu 7:14 ''wakati wa furaha furahi, wakati wa shida FIKIRI maana Mungu ndiye amefanya ya kwanza na ya pili ili mwanadamu asijue limpatalo kesho''
B)Phil 4:8 ''hatimaye ndugu zangu, mambo yoyote yalio ya kweli, ya staha, ya haki, safi, yenye kupendeza, yoyote yenye sifa nzuri, YATAFAKARINI HAYO''
C) Hii dunia ina matatizo na changamoto nyingi sana na nyingi hatuka kontroo nazo, tulie tusilie zipo, tumie tusiumie zipo na sisi, Nimepitia mengi na nimeona mengi (I lost my dad when I was three) nikutieni moyo, kwa kuendelea kufikiria vitu vilivyo nje ya uwezo wetu ni kuendelea kujiumiza na kujionea and yet no solution. For any problem or challenge, just make a zeal in you that you wont fear and you shall develop such a necessary skill to solve it because you are very capable. problems shall always be there, so for every problem in life, jitahidi tu kutafuta solution nalo litaondoka for we are here now because we solved problems somewhere and to live tomorrow we need to solve today's problems. but one thing, WE SHALL NOT FEAR.
BARIKIWENI SANA
thax darlingNami nawaombea nyote baraka na ulinzi wa Mungu...hata mfike mahali muangalie nyuma na kuona mahali Mungu amewafikisha zaidi ya mlivyofikiri mtafika pale wapendwa wenu walipowatoka.
Muone pamoja na majonzi na vizuizi mlivyopitia bado amewafikisha mlipo ndipo mtakapolihimidi na kuliita jina lake Eben-ezer yaani, "hata sasa Bwana ametusaidia." ( 1 Samuel 7:12)
Cc: King'asti, Smile, platozoom, Karucee, nameless girl sakapal et al...with love.
still fighting........Muda unaponya majeraha yote. Weka kumbukumbu nzuri na endelea kummiss. Ukikutana na challenges basi make her proud. Pambana nayo kwa mbinu alizokufundisha.
ubarikiwe sana ndugu yangu.najiamini mimi nipo strong.ila kwa hili naona kama napoteza nguvu kila siku.kama leo nimelia ibada nzima cause leo ni siku ya uimbaji kwaya ya kina mama ilikuwa inaimba yaani i wish she was there.wamenikumbusha mbali sana.sijui hata nifanyeje tena.
pole aiseeMy dad said "let me sleep" and he slept forever,my mother followed in less than two months.
Descanza en papa y mama.
😛ray2:
maisha tuInabidi mods waanzishe jukwaa maalumu for those who lost their loved one.
Aisee Smile u guys mmenifanya nimpigie mama yangu simu asubuhi yote hii mpaka ameshangaa....we should never take these moments for granted i see. Alafu kweli jana ilikuwa Kantate Domino ila mi nlitoroka saa tatu aisee...ooops!!!thax darling