I Miss you very much

I Miss you very much

Wakuu, kwa vipindi tofauti tumekutwa na misiba ya wapendwa wetu na hasa wale tuliowategemea. Tumshukuru Mungu kwa neema aliyotujalia hadi leo tupo salama na tuendelee kumuomba Mungu upendo wake.
 
Bora umefanya hivyo. Mama alikuwa anapenda kusema 'NOBODY NOTICE WHAT I DO UNTIL I DONT DO IT' It haunted me alipofariki. Nilijisikia i never appreciated her enough. Nilijaribu kuwaza mara ngapi nilishamuambia nampenda? Hadi siku moja nikaenda nyumbani likizo na kuamua kusafisha chumbani kwa baba. Nikakuta congrats card ya one of her graduations na yellow note niliyomuandikia. Nadhani nitaifungulia thread nikipata muda. Lakini nilikuwa nimemuambia nampenda,she is an insipiration to all of us and all that. Hapo roho yangu ikapata amani. Bado natembea na hii note hadi leo!
Aisee Smile u guys mmenifanya nimpigie mama yangu simu asubuhi yote hii mpaka ameshangaa....we should never take these moments for granted i see. Alafu kweli jana ilikuwa Kantate Domino ila mi nlitoroka saa tatu aisee...ooops!!!
 
Last edited by a moderator:
Oooh God! Nimejikuta natoa machozi, pole nameless hauko peke yako mamii tuko wengi, mimi nina miaka kumi na moja sina mama, but kila jambo huja kwa sababau na kazi ya Mungu haina makosa, kikubwa ni kuwaombea. Tunawamisi jamani mama zetu

Mara ya mwisho kukuona, ulikua ukipanga vitu vyako vya kwenda navyo hospitali. Request yako ya mwisho kwangu, ni kuniomba nikakutengenezee matango. Uliyala matunda hayo kwa furaha na tabasamu. Kumbe lilikua tabasamu lako la mwisho mimi kuliona. Alafu ukaondoka bila kutuaga, nilielewa kuwa hukutaka kututia hofu, kwani ulidhani utarudi. Haikuwa ivyo. Ulienda moja kwa moja. Hukurudi tena.

Miaka 9 sasa imepita bila uwepo wako. Ni ngumu kuishi bila wewe lakini naamini siku zote uko pembeni yangu ukinisupport kwa yote niyafanyayo. Nimemic sana kuita mama, bt l cnt act calling mama while l wanna col you n not any other mamas.

l love u so much n l will always do.

Mic u mama.
 
Wewe unampenda nasiye tunampenda Lakini Mwenyezi mungu anampenda zaidi......yuko kwake !!
 
Smile hauko peke yako mamangu, ni kweli wameondoka tukiwa bado tunawahitaji sana, lakini mambo yote ni mipango ya Mungu, huwa napata nguvu sana niaposoma maandiko matakatifu, yanaifariji na kunitia nguvu sana. Mamangu pia alikuwa akiimba kwaya ya wamama so kwa mfano siku kama ya jana kantante domino kwanza tungeimba wimbo wa familia, lol! Lakini tunayaweza mambo yote katika yeye atutiae nguvu, nafarijika sana pia nikisoma zaburi ya 121

ubarikiwe sana ndugu yangu.najiamini mimi nipo strong.ila kwa hili naona kama napoteza nguvu kila siku.kama leo nimelia ibada nzima cause leo ni siku ya uimbaji kwaya ya kina mama ilikuwa inaimba yaani i wish she was there.wamenikumbusha mbali sana.sijui hata nifanyeje tena.
 
Smile hauko peke yako mamangu, ni kweli wameondoka tukiwa bado tunawahitaji sana, lakini mambo yote ni mipango ya Mungu, huwa napata nguvu sana niaposoma maandiko matakatifu, yanaifariji na kunitia nguvu sana. Mamangu pia alikuwa akiimba kwaya ya wamama so kwa mfano siku kama ya jana kantante domino kwanza tungeimba wimbo wa familia, lol! Lakini tunayaweza mambo yote katika yeye atutiae nguvu, nafarijika sana pia nikisoma zaburi ya 121
ram what is your family song? I thought ni sisi peke yetu tuliokuwa na family song.

Ours was an English song ambao mama na baba wanaupenda sana...

[FONT=Verdana,Tahoma,Arial,Helvetica,sans-serif][SIZE=-1]"I know who holds the future,
And I know who holds my hand,
With God things don't just happen,
Everything by Him is planned;
So as I face tomorrow
With its problems large and small,
I'll trust the God of miracles-
Give to Him my all."
[/SIZE][/FONT]
 
Last edited by a moderator:
Mara nyingi tulikuwa tunaimba nyimbo ya kilugha au tulikuwa tunachagua wimbo katika mwimbieni Bwana/Tumwabudu Mungu wetu tunaimba kwa lugha yetu

ram what is your family song? I thought ni sisi peke yetu tuliokuwa na family song.

Ours was an English song ambao mama na baba wanaupenda sana...

[FONT=Verdana,Tahoma,Arial,Helvetica,sans-serif][SIZE=-1]"I know who holds the future,
And I know who holds my hand,
With God things don't just happen,
Everything by Him is planned;
So as I face tomorrow
With its problems large and small,
I'll trust the God of miracles-
Give to Him my all."
[/SIZE][/FONT]
 
Last edited by a moderator:
Mara ya mwisho kukuona, ulikua ukipanga vitu vyako vya kwenda navyo hospitali. Request yako ya mwisho kwangu, ni kuniomba nikakutengenezee matango. Uliyala matunda hayo kwa furaha na tabasamu. Kumbe lilikua tabasamu lako la mwisho mimi kuliona. Alafu ukaondoka bila kutuaga, nilielewa kuwa hukutaka kututia hofu, kwani ulidhani utarudi. Haikuwa ivyo. Ulienda moja kwa moja. Hukurudi tena.

Miaka 9 sasa imepita bila uwepo wako. Ni ngumu kuishi bila wewe lakini naamini siku zote uko pembeni yangu ukinisupport kwa yote niyafanyayo. Nimemic sana kuita mama, bt l cnt act calling mama while l wanna col you n not any other mamas.

l love u so much n l will always do.

Mic u mama.

hakuna afahamuye kesho!! ni majonzi huzuni na vilio tu ndo hutawala katika vifo but malaika mbinguni hushangilia kwa mipango ya baba yetu aliye mbinguni kutimia!! hakuna atakayeishi milele cha muhimu ni kuanza kujitoa katika maovu mapema na amini ipo siku utakutana tena na mama yako pahala pema pepon!!
POLE SANA NA MUNGU AKUJAALIE
 
Mara nyingi tulikuwa tunaimba nyimbo ya kilugha au tulikuwa tunachagua wimbo katika mwimbieni Bwana/Tumwabudu Mungu wetu tunaimba kwa lugha yetu

Kilugha chenu ni kipi!??:confused3:

Sisi tuliimba kilugha sikuku za Christmas na Mwaka mpya jamani...ule wimbo wa Mwimbieni Bwana namba 1 naujua wote...kwa kichagga!!!
 
Kinyiramba aise, bonafsi napenda wachaga wakiimba ule wimbo Maskini Barthmayo kwa kichaga lol! Jana makabila hayakuimba muda ulikuwa mdogo coz kulikuwa pia na ibada ya kumuingiza kazini askofu msaidizi

Kilugha chenu ni kipi!??:confused3:

Sisi tuliimba kilugha sikuku za Christmas na Mwaka mpya jamani...ule wimbo wa Mwimbieni Bwana namba 1 naujua wote...kwa kichagga!!!
 
Kinyiramba aise, bonafsi napenda wachaga wakiimba ule wimbo Maskini Barthmayo kwa kichaga lol! Jana makabila hayakuimba muda ulikuwa mdogo coz kulikuwa pia na ibada ya kumuingiza kazini askofu msaidizi

Wanyiramba na Wanyaturu ni ndugu?? #jusAsking

Maskini Barthimayo?? upi huo? kuna ambao ni mrefu hivi..nimesahau ni namba ngapi!

Aisee ebu nieeke lyrics za wimbo wowote wa Kinyiramba tafadhali..walau fungu moja tu..:whoo:
 
Tunatoka mkoa mmoja tu, so ni ndugu coz kwetu kumoja

Nitakuandikia mentor, ngoja nimalize kazi za mkoloni hapa, namba ya wimbo wa maskini bartmayo nayo nitakuambia, I wish ungekuwa hapa jirani nikakuimbia ungeukumbuka tu

Wanyiramba na Wanyaturu ni ndugu?? #jusAsking

Maskini Barthimayo?? upi huo? kuna ambao ni mrefu hivi..nimesahau ni namba ngapi!

Aisee ebu nieeke lyrics za wimbo wowote wa Kinyiramba tafadhali..walau fungu moja tu..:whoo:
 
Tunatoka mkoa mmoja tu, so ni ndugu coz kwetu kumoja

Nitakuandikia mentor, ngoja nimalize kazi za mkoloni hapa, namba ya wimbo wa maskini bartmayo nayo nitakuambia, I wish ungekuwa hapa jirani nikakuimbia ungeukumbuka tu

But i kan be...!!! how wish i heard you sing it...in Kinyiramba of course!!!
 
pole sana naelewa kabisa jinsi ulivyo mmiss mama yako kumbuka si wewe tu ulie ondokewa na mama,kuna wengi na wengine wanafuata kama sio leo kesho

mimi niliondokewa na wazazi wangu alianza mama mwezi mmoja kabla machozi ayajakauka baba akafuata tena mbaya alinimbia mda si mrefu atamfuata mama nikae nikijua hivyo sababu awezi kuishi bila yeye

familia iliamini uzee na kumbukumbu za mama zilimfanya awe mnyonge mpaka kutamka mda si mrefu atasafiri..nilifungasha mizigo yangu na kuja ninapoishi
nilipotua nikawa naongea nae kwenye simu lakini siku moja aliniachia simu hewani na kuacha neno moja lililo kaa kichwani mwangu kwa mda mrefu sana
mwanangu mda umefika rudi nyumbani kwani mimi niko safarini toka kipindi kile siku sikia tena sauti yake zaidi ya ndugu na jamaa walipokuwa wanalia...........pain sito andika zaidi


poleni sana mliondokewa na wenu wa karibu muwe na subira nguvu na uvumilivu kifo kimeumbwa

pole sana
 
huwaga nawaza siku ntayoishi bila mama maana najijua am troublemaker no one can tolerate midudu yangu aiseee ni machepele nafanya madudu mwisho wa siku nakimbilia kwake hata akinibarasa huwa i feel like nimerelease something aiseee pole mleta mada imenitouch aisee
pole sana kwa kumpoteza mama yako
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom