I Miss you Husninyo

I Miss you Husninyo

Paloma alikuwa mzuri 😋😋.. Nilikuwa namuwaza sanaaa, ila duni..

Nakumbuka matukio matatu yangu, moja kupokonywa mpenzi wangu na member mwenzangu wa jf 😅😅... Moja kuna kitoto cha TIA kilikuwa member humu tulilala nacho usiku mzima, ila kikaninyima na asubuhi kikachukua posho yake laki na nusu.. Na mwisho Toto moja la kirangi kama lilinipiga ndumbaaa
🤣🤣🤣🤣🤣 make hapo kwanza ncheke!
 
Nyie ndio mliokuwa mnakuja kwa kuficha aidiii...I was one of few mates who showed up at Kebby's, came a bit late...

"Leo tupo hapa pub" ilikuwa Mwananyamala na sio Kinondoni...

Nimepotezana na raia wengi wa wakati huo including Mtambuzi & co, but still in touch with few...
 
Back
Top Bottom