I Miss you Husninyo

I Miss you Husninyo

Paloma alikuwa mzuri 😋😋.. Nilikuwa namuwaza sanaaa, ila duni..

Nakumbuka matukio matatu yangu, moja kupokonywa mpenzi wangu na member mwenzangu wa jf 😅😅... Moja kuna kitoto cha TIA kilikuwa member humu tulilala nacho usiku mzima, ila kikaninyima na asubuhi kikachukua posho yake laki na nusu.. Na mwisho Toto moja la kirangi kama lilinipiga ndumbaaa
🤣🤣🤣🤣 Ukafanywa joka la kibisa
 
Wewe 🤗🤗

Aisee umejua kupotea
Lovely dad... kwanza nimekununia ... hivi ndio mabinti zako wote ulitususa namna hii au ni mimi peke yangu?😒😒😒.... Hii kesi ni kubwa sana , labda uje na mashahidi wa siri ndio tutaimaliza... CC: Husninyo aione kwenye file
 
Lovely dad... kwanza nimekununia ... hivi ndio mabinti zako wote ulitususa namna hii au ni mimi peke yangu?😒😒😒.... Hii kesi ni kubwa sana , labda uje na mashahidi wa siri ndio tutaimaliza... CC: Husninyo aione kwenye file

Siku zote nipo hapa hapa...

Wewe ndiye binti wa kwanza kuzaliwa lakini ukalikimbia boma hata nisijue umetowekea wapi binti yangu kipenzi...
 
Huyu ni member wa zamani humu Jf nimemmiss tu bhana hajaonekana hili ni jukwaa la mapenzi ,mahusiano na urafiki,kwahiyo siyo vibaya kumtag member ambaye humsomi na unamwelewa.
C.C Husninyo

Viol
Wahusika wanakuja mkuu
 
Siku zote nipo hapa hapa...

Wewe ndiye binti wa kwanza kuzaliwa lakini ukalikimbia boma hata nisijue umetowekea wapi binti yangu kipenzi...
Hahahahah... sasa nimerejea rasmi nyumbani baba kipenzi... natamani utukusanye mabinti zako wote kama zamani
 
Back
Top Bottom