Ilishafanya uharibifu.......just thinking.
Haha, 😂Wapo wamebadili id, ongea na waungwana vizuri tukuonyeshe vichaka vyao vipya kiongozi..!! 😹
Hukunielewa...😊😊😊
Mzee ilifanya social connection na sio uharibifu...
Wanaume walikuwa 80% hivi ya wahudhuriaji...
Hukunielewa...
Namaanisha kama mtu kabdili ID lolote linawezekana ila kubwa hiyo ID ilishafanya uharibifu ndiyo maana ihaitumiwi.
Ulijuaje amefariki?kina CharmingLady, Mentor , KING'asti Asprin 😅😅 @sectretary Bishanga Arabela mimisa Kipaji Halisi ila kuna siku nilikuwa napita enzi hizo, niliumia sana kukuta memba alie kuwa anaitwa Dena Amsi amefariki roho iliniuma sanaa
ID yake ina R.I.PUlijuaje amefariki?
😅😅 Boflo
Paloma alikuwa mzuri 😋😋.. Nilikuwa namuwaza sanaaa, ila duni..Namtafuta sana huyu member Paloma
🤣🤣🤣🤣 naijua hiyo.Nimemmiss @gorgeousnimi.
Kuna Lady doctor, huyu alinikaribisha, she was charming sana. Rafiki yangu Binti Magufuli, its been muda sijamuona MBITIYAZA binti wa madili ya madini na biashara.
Halafu kuna Atoto 😅😅 mke wa ujana wangu
Mmeanza kuja na id zenu mpya 🙆♂️🙆♂️Paloma alikuwa mzuri 😋😋.. Nilikuwa namuwaza sanaaa, ila duni..
Nakumbuka matukio matatu yangu, moja kupokonywa mpenzi wangu na member mwenzangu wa jf 😅😅... Moja kuna kitoto cha TIA kilikuwa member humu tulilala nacho usiku mzima, ila kikaninyima na asubuhi kikachukua posho yake laki na nusu.. Na mwisho Toto moja la kirangi kama lilinipiga ndumbaaa
Paloma alikuwa mzuri 😋😋.. Nilikuwa namuwaza sanaaa, ila duni..
Nakumbuka matukio matatu yangu, moja kupokonywa mpenzi wangu na member mwenzangu wa jf 😅😅... Moja kuna kitoto cha TIA kilikuwa member humu tulilala nacho usiku mzima, ila kikaninyima na asubuhi kikachukua posho yake laki na nusu.. Na mwisho Toto moja la kirangi kama lilinipiga ndumbaaa
Mmeanza kuja na id zenu mpya 🙆♂️🙆♂️
Nilimaanisha pia je hao Jf watajuaje mtu katembea,?ID yake ina R.I.P