kazi za huyu jamaa za sasa sio kama za zamani. hata maini kushtuka tuu hapana just watching kama vikatuni.... tbe man is really falling.... producer wake anazingua nae...
Najua hutaki kukubali maana unategemea career yake uishi lakini huo ndio ukweli. Jiandae tu kukubaliana na ukweli. This is a bitter truth as it is hard to swallow, it is painful truth.