I Miss U. Greetings from Bukoba Club

huu sasa ni mchanganyiko wa honeymoon na honey sun.
Business with leisure
Bujibuji wakati mwingine unafurahisha kweli maana nimecheka mbavu sina eti honeymoon na honey sun....sasa mbona hujaunganisha likawa neno moja honeysun
 
Mkuu nenda mpaka Amugege Itahwa Jumapili upate rubisi,enkonyagi,ekimpumu,amameshe toka insisha,ebalagala,obugena etc
 
Hivi ule uwanja wa Gymkhana bado uko safi?, nshami nao bado wanafurika wakipitia kile kisiwa cha Musira? (Sikumbuki vizuri jina lake), nikuwa na mshikaji wangu pale wa kike ana maji ya kutosha. Loo, Bk hiyo sijui nitarudi lini tena!. Miss you beautiful ladies of Bk with big legs like elephants.
 
Hivi ule uwanja wa Gymkhana bado uko safi?, nshami nao bado wanafurika wakipitia kile kisiwa cha Musira? (Sikumbuki vizuri jina lake), nikuwa na mshikaji wangu pale wa kike ana maji ya kutosha. Loo, Bk hiyo sijui nitarudi lini tena!. Miss you beautiful ladies of Bk with big legs like elephants.

nina picha nzuri sana nimepiga Musira, ntakutumia
 
mkuu ulizia tree inn kama bado ipo halafu unipe jibu.aah!..bukoba weee...!!sitaisahau miami beach na beach fulani ipo kule bandalini nyuma ya kiwanda cha kahawa (minaki) sijui kama ndo jina lenyewe.kipindi hicho kulikuwa na pamba disco bonge ndani ya nyumba.kila wkend unauliza pamba yupo wapi.umenikumbusha mbali mkuu.j2 tunakutana rumuli kanisani sijui lile kanisa kubwa washamaliza kulijenga!

Lile kanisa kubwa kaka bado hawajamaliza kulijenga sijui litaisha lini? Mengine uliyouliza yanaendelea kama kawa,
 
Haya kaka Bujibuji W'end njema, Wasalimie woote, Chonka kolagaluka otayebwa ekilibwa, ebikwala ne nshoro.
 
Back
Top Bottom