Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,871
- 155,841
Salamu zinarushwa live and exclussive kutoka Bukoba Club. Nimewamiss sana wana MMU
Ushaagiza ulimi wa kuchoma hapo?Salamu zinarushwa live and exclussive kutoka Bukoba Club. Nimewamiss sana wana MMU
kiukwelii... kama huijui bukoba club basi hujafika bukobaBk club iko sehemu gani mkuu?kama iko Bk town basi wape salamu wa nyakanyasi na kashai
au ka vipi aagize ile samaki ya foil,mtamu ka nini,lunch kesho akale matoke special kwenye ile cafe iliyoko opposite na uwanja wa mashujaa pale karibu na msikiti ,breakfast kwenye mgahawa wa elct.Ushaagiza ulimi wa kuchoma hapo?
Salamu zinarushwa live and exclussive kutoka Bukoba Club. Nimewamiss sana wana MMU
tata wasiba otaigeTaaspota... (sijui nimepatia?}
tata wasiba otaige
honeymoon
Ushaagiza ulimi wa kuchoma hapo?
mkuu ulizia tree inn kama bado ipo halafu unipe jibu.aah!..bukoba weee...!!sitaisahau miami beach na beach fulani ipo kule bandalini nyuma ya kiwanda cha kahawa (minaki) sijui kama ndo jina lenyewe.kipindi hicho kulikuwa na pamba disco bonge ndani ya nyumba.kila wkend unauliza pamba yupo wapi.umenikumbusha mbali mkuu.j2 tunakutana rumuli kanisani sijui lile kanisa kubwa washamaliza kulijenga!
vipiimeishaHTML:honeymoon
Bujibuji,
Nikukaribishe au una mwenyeji?
Haya bana!Ila baridi ya huko ka Urusi!