Yan umenichekesha afu nikakuonea huruma pia kukujibu......asa huyo mwanaume umemuona wap kama uliona unadanganyika si ungepita kimya kimya tuu kwan lazima udondoshe comment hapa ndugu yangu.... na huko nyuma umepachunguliaje kama sio na ww mkaaji nyuma..aiseee usinipanikishe mchana mchana endelea na safari zako arif
Poa mkuu.Fursa sio fulsa,,,
I like the creativity. Good luck.
Yan umenichekesha afu nikakuonea huruma pia kukujibu......asa huyo mwanaume umemuona wap kama uliona unadanganyika si ungepita kimya kimya tuu kwan lazima udondoshe comment hapa ndugu yangu.... na huko nyuma umepachunguliaje kama sio na ww mkaaji nyuma..aiseee usinipanikishe mchana mchana endelea na safari zako arif
Yup yup! Ubunifu hulipa mara nyingi.Naona kakwepa mchango wa tangazo
Sorry kua single haimaanishi umekosa mtu...pia yanaweza kua ni maamuzi..au pumziko la muda flani😂😂😂😂 ukiniona live nafikiri utatengua kauli yako.
Wanaume wa chips siku izi mnatutia aibu...Mtoto mzur amejieleza kwa mafumbo haja yake badala ya kumalizana naye kimya kimya mnamuacha anaendelea kujibu comment hapa......! Enz zangu mm....! I wish I could turn back the tym... Kwa kule upareni ukiacha embe dodo kama hili wazee wanakupa laana.
Mp means?
Duuuuh kua single ni shida saa ingine...yes unakua free at times but being with someone pia ina umuhimu wake.namiss kudeka,kuulizana uko wap, hangout na kuzinguana sometimes. .hahahahaaa (msipanic basi..i just say wat i fill maana kuna watu wana maushauri ya kuumiza roho).
Kuna lily mwanaume?
Duuuuh kua single ni shida saa ingine...yes unakua free at times but being with someone pia ina umuhimu wake.namiss kudeka,kuulizana uko wap, hangout na kuzinguana sometimes. .hahahahaaa (msipanic basi..i just say wat i fill maana kuna watu wana maushauri ya kuumiza roho).
I like the creativity. Good luck.
Sorry kua single haimaanishi umekosa mtu...pia yanaweza kua ni maamuzi..au pumziko la muda flani ukiniona live nafikiri utatengua kauli yako.
Kuna lily mwanaume?