I love you V/S Nakupenda

I think inategemea anae kwambia anazowea lugha gani,
na pia wewe na mpenzi wako mnaongea lugha gani kawaida.
Haya maneno nikiambiwa kwa kingereza, naona kama ni yakuigiza
raha yake upate kwa kiswahili, it looks more genuine bwana.
Kongosho, mambo?
 
aya sasa umeanza kama kawaida kuleta ya nyuma mbele ya mbele nyuma mashairi ya nini sasa kwenye kuoanisha maneno haya? ama ndo wamzimikia mdogo wangu bro wa ukweli platozoom? nakuona easting na deflection unazipimia kwa mbali kweli sikuwez.

Mbona unaharibu hata kabla sijavuka sekenke? wifi lawama wewe khaa!
 
I think inategemea anae kwambia anazowea lugha gani,
na pia wewe na mpenzi wako mnaongea lugha gani kawaida.
Haya maneno nikiambiwa kwa kingereza, naona kama ni yakuigiza
raha yake upate kwa kiswahili, it looks more genuine bwana.
Kongosho, mambo?

Mie mzima, mie napenda sana kiswahili
Nakumbuka kuna mmoja aliniambia
'nakupenda sana, kila nikikuwaza namaliza kichane cha ndizi'
Basi mie roho kwatuuuuu

Hivi ushawahi itwa laaziz wewe

kundi lako naliogopa lol! but najua haiapply kwa early relps. manake mbona utapata bp na masheli?

Ha ha ha ha, yaani we acha tu
Nimeshakomaa siku hizi
 
I think inategemea anae kwambia anazowea lugha gani,
na pia wewe na mpenzi wako mnaongea lugha gani kawaida.
Haya maneno nikiambiwa kwa kingereza, naona kama ni yakuigiza
raha yake upate kwa kiswahili, it looks more genuine bwana.
Kongosho, mambo?

Hebu niambie mimi kwa leo tu (najua halitoki kirejareja)............nina hakika siku yangu itakuwa shwariiii. Mwali nakuzimikiaga!
 
Last edited by a moderator:
Mie mzima, mie napenda sana kiswahili
Nakumbuka kuna mmoja aliniambia
'nakupenda sana, kila nikikuwaza namaliza kichane cha ndizi'
Basi mie roho kwatuuuuu

Hivi ushawahi itwa laaziz wewe
Kongosho kuna maneno kama msiri wangu, mke wangu mpenzi, laaziz, mwandani wangu yaani mtu akiyatamka lazima nafsi ife ganzi aisee. kisahili bana huwa hakikati ukali wa maneno. pata picha sasa mtu anakwambia maneno haya akiwa ameyamaanisha hadi kwa body lg.
 
Last edited by a moderator:
Mie mzima, mie napenda sana kiswahili
Nakumbuka kuna mmoja aliniambia
'nakupenda sana, kila nikikuwaza namaliza kichane cha ndizi'
Basi mie roho kwatuuuuu

Hivi ushawahi itwa laaziz wewe



Ha ha ha ha, yaani we acha tu
Nimeshakomaa siku hizi

Au mahabuba
 
Kongosho kuna maneno kama msiri wangu, mke wangu mpenzi, laaziz, mwandani wangu yaani mtu akiyatamka lazima nafsi ife ganzi aisee. kisahili bana huwa hakikati ukali wa maneno. pata picha sasa mtu anakwambia maneno haya akiwa ameyamaanisha hadi kwa body lg.

HASWAA........na mwanamke akiniongezea "dume langu" amenimaliza kabisa!............Halafu hivi waswahili tuna "body language?"
 
Mie mzima, mie napenda sana kiswahili
Nakumbuka kuna mmoja aliniambia
'nakupenda sana, kila nikikuwaza namaliza kichane cha ndizi'
Basi mie roho kwatuuuuu
Hivi ushawahi itwa laaziz wewe
i
Mi ni kiswazi kwenda mbele. Mi english ya nini, english yenyewe broken hii?
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom